Mwanamke yupo Mkoani hayupo Apa 2napoishi sis...Swala la kumpeleka hospitalin linawezekana vjp?Akisema anaumwa ana2ma kabisa makaratas na gharama za dawa zinakua zaid ya 40000+...Mala ya kwanza alim2mia akafanyatena mala ya pili akawa anamtumia mim ananificha sasa now ni mala ya nne!!!Nikimshaur...
Nina rafki yangu kampenda mwanamke kakutananae Facebook mdani ya wiki mbili.Lakin wameanza na mipango ya ndoa mwez wa11 lakn chakushangaza huyu wanamke anamuomba sana hela kwakisingizio anaumwa kilabaada ya wiki na anakua mkali.Ndugu yangu analalamika sana lakin ukimshaur ampuuze uyo mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.