Recent content by promi demana

  1. P

    Mhe. Zitto kushindwa kutaja majina ya waficha fedha Uswiss kama alivyoahidi ni woga?

    Ktkt bunge hili hakika tumeona pengo la Dr.Slaa, hakika Dr. Slaa ni mwanasiasa mwenye uthubutu wa kutaja hata mafisadi kwa majina kama that time mwembe yanga.
  2. P

    Orodha ya Aibu ya Mafisadi, Hoja ya Zitto, hatima ya Tanzania, tuko hatarini

    Watz sijui nani katuroga? Jaman tusikubali kuiacha CCM iendelee kutawala na wakati ndio mafisadi.
  3. P

    News Updates: Mahakama kutangaza ubunge wa Lema baada ya siku 14.

    Lema dont give up! All patriotic Tanzanians we love and need you guy!
  4. P

    Chadema yapinga na kukosoa msimamo wa lissu kuhusu kumshtaki rais.

    Mbona watu wambea sana hasa we gamba mleta thread hii, Nilisoma habari hiyo na umeifanyia edit nyingi sana ww kuwadi wa unafiki ambaye ni mshabiki wa Lipumba humu JF, Ni kweli hoja ni ya Tundu Lissu na sio chama sasa tatizo liko wapi?
  5. P

    Bunge kujadili hoja binafsi za Mnyika na Nassari

    Hapo kwenye baraza la mitihani nimekukubali sana Joshua nassary
  6. P

    Kikwete atuma salamu za pongenzi kwa Obama, aahidi kuendeleza ushirikiano na USA

    Tunasubiria na tamko la Zitto lazima naye atachomekea urais kupitia huu ushindi wa Obama.
  7. P

    Picha: Sheikh fadhil soraga wa zanzibar amwagiwa tindikali na watu wasiojulikana

    Mimi ni mkristo tena mlikole haswa. Kwa kitendo hiki alichofanyiwa shehk si kizuri wala si cha kibinadamu hata kidogo, hali hii haivumiliki ktk nchi ya amani kama yetu. Please serkali fatilieni wahusika wahuni hao wachukuliwe hatua.
  8. P

    Picha: Sheikh fadhil soraga wa zanzibar amwagiwa tindikali na watu wasiojulikana

    Mimi ni mkristo tena mlikole haswa. Kwa kitendo hiki alichofanyiwa shehk si kizuri wala si cha kibinadamu hata kidogo, hali hii haivumiliki ktk nchi ya amani kama yetu. Please serkali fatilieni wahusika wahuni hao wachukuliwe hatua.
  9. P

    Mbowe: Nipo tayari kuondoka CHADEMA...

    Mbowe hebu hacha kauli za kifffallla na kijuha, hata kama CDM si baba yako sasa unamwambia nani? Hebu nyie viongozi acheni maupumbavu hayo ya kauli tata kama lile lizito kabwe. Bora hata Rais wangu Slaa.
  10. P

    OIC: Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo

    bora ukimwi kuliko OIC, waislamu mpo 28% na wakristo 78 sasa hapo hamuwez wachache kutulazimisha ss wakristo wengi
  11. P

    watu wa Dar tunaomba tuungane siku ya Alhamisi ya tar 08 November kesi ya Lema

    Kamanada Lema Mungu akusaidie kwa sisi wa mbali mtatupa updates.
  12. P

    Mwanza: Mahakama yawatia ndani Diwani, Katibu wa CHADEMA

    Lema is the Great Philosopher in the world.
  13. P

    Lipumba, mdhamini mtoto aliyekojolea kurani

    Lipumba labda awe Rais wa iraq au somalia lakini sio ktk nchi yetu Tanzania ambayo zaidi ya 74% ni sisi wakristo na waislamu ni chini ya 29%.
Back
Top Bottom