Chadema ipi? Mwendazake si aliua kila kitu!!! Jamaa alidhani ataishi milele kaua upinzani ili ale manono ya nchi hii bila kupigiwa kelele. Cha kushangaza naye kafa miezi minne baadae. Mungu aziakiwi, similar scenario as in the Holy Bible Lk 12:20-21 - “But God said to him, ‘You fool! This very...
Pole. Unapoamua kuishi kama mke wakati ujaolewa ni lazima kutumia akili kidogo. Huyo jamaa yako unamkamua hasa ili agharamie hizo huduma unazompatia. Hiyo ya kudhani ukijifanya kondoo uliwe bure ndio itakufanya uolewe ni kujidanganya mchana kweupe. Wewe mpe hilo papa lako apige ila uhakikishe...
Kumshahuri pombe inahitaji ujasiri wa kujitoa mhanga kama Ndugulile alivyo ambulia kutumbuliwa. Ila uzuri wa pombe baada ya maamuzi uwa anafanya pondering na akigundua kuna kasoro hubadiri gia na kumchukua mtu yule yule kwa kazi zaidi. Hiyo tu ndio uwa naikubali kutoka kwa pombe. Kukosea kupo na...
Una uhusiano na mkapa au ulikuwa kwenye chain yake ya upigaji? maana naona unajaribu kumpamba tu mwizi mkubwa yule. Kazi amefanya JK sifa unampatia Mkapa. Apumuzike kwa amani Mkapa!
mkuu umefanya vema kumnyima hiyo 20k. Kununa kwake kusikusumbue wewe endelea na maisha kama vile hajanuna. Muache apime mwenyewe ananuna kwa muda gani.
Kuomba nauli sio sababu ya kwamba hawezi kutafuta hela au kwamba hana hela ni hulka yao kuomba na kutegemea. Yaani mwanamke ni parasite ya mwanaume. Hii dunia bila mwanaume haipo! Waulize walioa wake watafutaji hela yao ni yao na ya mwanaume ndio pesa ya familia. Alafu mbaya zaidi mwanamke...
Labda tuichukulie hivyo mkuu lakini tafsiri ya sheria/amri ni ngumu kidogo ukisoma vizuri utaona jamaa hadi kawivu flani hivi kamo kwenye ujumbe wake. Na hayupo pekee yake ili linatukumba wanaume tuliowengi! Issue ni je mstari unachorwa wapi kutenganisha impressions na matamanio!!
V
Vipi Mitsubishi io au hata mini yenye 4WD kama pesa yake ni ndogo zaidi. Vina nguvu alafu viko juu juu avilambe ardhi hata barabara ikiwa ya hovyo. Shida yake spear ila hayaharibiki hovyo hovyo, body za Mitsubishi asilimia kubwa ni chuma ngumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.