Recent content by proffesa issa

  1. P

    hotuba ya rais pierre nkurunzinza(15/05/2015)

    wadau kuna tetesi zilikuwa zimezagaa hapa JF na mitandao mingine kuwa nkurunzinza atatatoa heavy speech le,mwenye taarifa juu ya hiyo speech atujuze tafadhari
  2. P

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    the strongest man in the world is the one who stand alone-ngugi wa thiong'o
  3. P

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    mtoto ni mtu mzima mfupi-marie montessory(montessorie school of thought)
  4. P

    Kuna nini Tegeta Dar es salaam? Mbona kuna miale mikali ya mwanga kwa angani?

    inawezekana mkuu,nadhan ndo kamana umeme umekatika ghafla
  5. P

    Kuna nini Tegeta Dar es salaam? Mbona kuna miale mikali ya mwanga kwa angani?

    tegeta hakuna kambi ya jeshi,kambi ipo mbweni kama unaelekea bagamoyo na lugalo kama unaelekea city center
  6. P

    Kuna nini Tegeta Dar es salaam? Mbona kuna miale mikali ya mwanga kwa angani?

    wadau kuna nini kinachoendelea tegeta mbona tunaona kuna miale mikali ya mwanga kutoka huko?
  7. P

    Waalimu wapya kurudi makwao?

    kama walikuwa hawajui ualimu ni wito ndo watambue sasa.kwanza siwalizifuta hizo ajira hadi tarehe 30 ndo wanazitangaza
  8. P

    CHADEMA yajiengua UKAWA

    chadema ya 2015 kama ni darasa la saba anataka kugombea bora ajiengue mapema na kujiunga CCM,maana hata certificate sijamuona hapo
  9. P

    unamfaham professor god?ona hichi alichowafanyia hawa wadudu

    wadau nimeamini kweli sir prof god ni hatari sana,ebhana kumbe wadudu jamii ya mchwa au sisimizi huwa hawalali kabisa katika maisha yao yote hapa duniani.vipi ulikuwa unafahami hichi?
  10. P

    Unamfaham Professor God? Ona hiki alichowafanyia hawa wadudu

    Wadau, Leo nimeamini kweli Sir Prof God ni wa ajabu sana! Kumbe bhana wadudu jamii ya mchwa au sisimizi huwa hawalali kabisa katika maisha yao yote ya hapa duniani! Vipi wewe ulikuwa unafahamu kitu kama hiki?
  11. P

    Mgomo wa waganga wa jadi (tiba asili) wanukia

    Mgomo huo unatokana na michango ya mara kwa mara wanayochangishwa waganga hao na watu wanaosema kuwa wametumwa na Wizara yaAfya.Pia wamedai kuwa wamekuwa wakifanyiwa unyanywasaji na serikali kupitia Wizara ya Afya. Chanzo: WAGANGA WA TIBA ASILI KINONDONI NA BAHI-DODOMA
  12. P

    Setti (Bikira wa Kisukuma):Tuna matajiri wengi tarehe 30 na masikini weng tareh 10

    mkuu nadhan hatukujengewa mising mizur ya ujasiriamali tukiwa mashulen na hivyo kutia hofu kwa weng walioajiriwa kujihusisha
  13. P

    Setti (Bikira wa Kisukuma):Tuna matajiri wengi tarehe 30 na masikini weng tareh 10

    Habari wanaukumbi! Wadau mimi nimfuatiliaji wa stori za huyu jamaa na hiki alichosema nadhani kina ukweli ndani yake. Wadau, wengi wetu humu tumeajiriwa na kuanzia tareh 23-30 huwa tunavuta pesa na kuwa matajiri kwa kufanya chochote tunachoweza kwa mishahara tuliyopata,lakini ikifika tarehe...
Back
Top Bottom