Katika kuangazia maswala yetu ya elimu kuna mambo kadhaa yamefanyiwa mabadiliko kwenye utekelezaji wa sera ya elimu ya 2014 toleo la 2023. utekelezaji wa mabadiliko hayo umeendelea katika ngazi mbali mbali kwa mfano
1. Mabadiliko ya kozi mbali mbali (kwa ngazi ya vyuo vikuu na vya kati)
2...
watanzania tunacho kihitaji sio viongozi wazuri tunahitaji mfumo mama ambao ni katiba na taasisi imara zitakazo wasimamia viongozi, hata kwenye mataifa yaliyo endelea sio kwamba wao wanaongozwa na malaika bali kuna mifumo imara, miongozo yetu ya sasa niile ya kiimani kwamba atatokea kiongozi...
ufahamu wa sheria ni jambo moja hasa kwenye haya mataifa yetu ya kiafrika lakini nimuhimu sana kuwa na weledi huo wa kisheria, lisu kwakweli Mungu ampe maisha marefu wengine tunajifunza kutoka kwake
hatujazusha jambo lolote tumejaribu kuuliza kwa wenye ufahamu wa hili, labda kama hujasikia wala kutazama hiyo video hapo juu, ingekuwa vema ukatufahamisha ili tuwe na uwelewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.