Recent content by Professor X

  1. Professor X

    Kijana mwenye wazo la Biashara la mtaji wa Mil 5-10

    Mi Nina Uzoefu Na Mambo Ya Photoshoot na Videoshoot Nipo Mbeya Kama upo Tayari karibu Nikupe Mchanganuo Mzima wa Hiii Biashara ivyo Call or Whatsapp 0710550860
  2. Professor X

    Natafuta watu wa kujitolea kwenye NGO

    IT and NGO branding Mi Najitolea Hapa Kama Ujapata Mtu Tuwasiliane https://wa.me/message/IBQOAWCDPHT7O1
  3. Professor X

    Sms za USSD biashara yake inafanyikaje?

    Umesha pata solution or happyxxx
  4. Professor X

    Natafuta muwekezaji kwenye Biashara ya Photography, Video Production na Graphics

    Habari wana jamii Ni matumaini yangu ni wazima wa Afya Kikiwa kimepita kipindi kirefu toka Nilete maombi kwenu. Niseme tu Asante Kwa waliokuja na kunipa mawazo na kunisahauri ila Nakuja tena mbele yenu kwa unyeyekevu Nikiomba ni mpate muwekezaji ili kuweza kulikamilisha wazo langu Baada ya...
  5. Professor X

    Natafuta muwekezaji kwenye Biashara ya Photography, Video Production na Graphics Design

    Kiwango cha uwekezaji nilisha kiweka ila faida na hasara huwa namuelekeza mtu inakuaje na inafanyikaje tukisha kubaliana ili ajipime mwenyewe na nimeisha fanya ivyo kwa walio nifwata
  6. Professor X

    Natafuta muwekezaji kwenye Biashara ya Photography, Video Production na Graphics Design

    kwa sasa sina project yoyote nilio wahi kuifanya ya animation maana ata nilizo kuwa nafanya ili kuwa ni kwa kujifunza tu
  7. Professor X

    Natafuta muwekezaji kwenye Biashara ya Photography, Video Production na Graphics Design

    ni kweli mkuu ila mimi kwenye animation siyo mtaalamu sana nilishindwa kuendelea kujifunza kutokama na changamoto za vifaa ila nina uzoefu na (adobe afterEffect, Autodesk Maya, Cinema4D, Blender) ila sijajua unataka animation za aina gani kamaitawezekana naweza kuingia kupinga msuli tufanye kazi
  8. Professor X

    Natafuta muwekezaji kwenye Biashara ya Photography, Video Production na Graphics Design

    umeongea fact sana mkuu unajuwa watangulizi wetu walikosea mengi sana ndo maana wanatupa wakati mgumu kuaminiwa ata sisi tulio na nia ya kweli ya kufika mbali zaidi, unajuwa nakosa maneno ya kusema ila Na waombeni mlio na nia ya dhati kuwekeza kwenye hii kazi aje tufanye kazi najua yeye ndo...
Back
Top Bottom