Nini kifanyike ili tuweze kuondokana na changamoto ya maji kufurika pindi mvua inaponyesha Jiji la Dar es Salaam, wadau mbalimbali tujitokeze tutoe mawazo ili kuweza kuliondoa Jiji letu la biashara katika Changamoto hii inayojirudia rudia pindi mvua zinapo nyesha.
Kwa nini muda na gharama zinazotumika kuandaa sherehe za mei mosi zizitumike kufanya kitu cha maendeleo kwa jamii kuliko kutumia gharama kubwa kwa sherehe zisizo na badiliko
Kama tumeweza kuacha kuazimisha sherehe za Uhuru , Muungano na nyingine za kitaifa kuokoa fedha , kwa nini viongozi wa wafanyakazi na serikali wasiwe wanahairisha sherehe za Mei Mosi ili waweze kuokoa gharama na fedha zitumike kufanya kitu cha maendeleo
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa kushirikiana na Bodi ya Uhasibu (NBAA), inawatangazia Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu nchini, kujitokeza Kusajiliwa kwa lengo la kutambuliwa kwenye mfumo wa Utambuzi wa NIDA na hatimaye kupatiwa Kitambulisho cha Taifa kwa ambao bado kufanya hivyo...
Kuanzia tarehe 15/10/2018 NBAA wanaanza kutumia mfumo mpya wa malipo wa GePG kwa huduma zote zinazotolewa na Bodi ya Uhasibu na Ukaguzi kama vile malipo ya mitihani , ada za uanachama , semina na huduma nyinginezo
CPA Maneno katika semina inayoendelea Mbeya amedokeza kuwa hivi karibuni Bodi itatoa tamko au waraka utakao onyesha itumie nini kwenye kuandaa taarifa zao za hesabu mf IFRS, IPSAS au vinginevo
Misingi mitano ya taaluma ya Uhasibu na Ukaguzi.
1.Uadilifu (Integrity)- Mhasibu unatakiwa kuwa muwazi na muaminifu katika maswala ya taaluma na vinavyohusiana na kazi
2.Usawa (Objectivity)- Mhasibu usiruhusu kitu chochote , upendeleo au utashi wako ukahasili kufanya maamuzi yanayohusiana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.