Recent content by Prof: KG

  1. P

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Mtu mzito je mtu unaweza kuwa na kinga zaidi ya moja? Mfano we umenipa kinga then nikaenda kwa mtaalam mwingine akanipa kinga. Hivi inawezekana au ile ya pili itaivunja nguvu ya kwanza?
  2. P

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Habari mtu mzito. 1. Nasikia kuna tabia ya wachawi kumtoa mtoto au ndugu wa karibu ili ili yeye apande cheo, je inawezekana kuzuia ilo tukio kwa nguvu za kiganga? , if yes. Je kunamadhara yeyote kwa atakaezuia? 2.je kinga ya kiganga(majini) , haya majini hayawezi kumuaffect muhusika for any means?
  3. P

    Natafuta mume

    Hi
  4. P

    TRA wameanza kuita watu kwenye usaili

    Kwa mwenyekujua plz! Nikitokea MWENGE nitafikaje kwenye hayo majengo ya NBAA?
Back
Top Bottom