Mtu mzito je mtu unaweza kuwa na kinga zaidi ya moja? Mfano we umenipa kinga then nikaenda kwa mtaalam mwingine akanipa kinga.
Hivi inawezekana au ile ya pili itaivunja nguvu ya kwanza?
Habari mtu mzito.
1. Nasikia kuna tabia ya wachawi kumtoa mtoto au ndugu wa karibu ili ili yeye apande cheo, je inawezekana kuzuia ilo tukio kwa nguvu za kiganga? , if yes. Je kunamadhara yeyote kwa atakaezuia?
2.je kinga ya kiganga(majini) , haya majini hayawezi kumuaffect muhusika for any means?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.