Sasa Watanzania Wenzangu kwani Si tunaambiwa Hawa Viongozi tunaowaajiri ni Sisi wananchi kwa maana Sisi tunawachagua???
Sasa Solution ni Moja tu Kwenye Balloon Paper. Ikishindikana Hapo ndio tujue Njia Mbadala.
Hatuwezi tu Kila Siku Tunakuwa Watu wa Kulalamika na Kutia Huruma. Ila Tukumbuke...
Baada ya Kufanya Critical Research and Examination kuhusu Claims za baadhi ya Members wa hii thread huku mwishoni.
Nimepata wasi wasi na kuanza kukubaliana na baadhi ya hoja zao
Baada ya Uchunguzi wangu wa kina na kwa Ku Gather some sort of evidences nimefikia conclusion kwamba this story...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.