Recent content by Pro Magufuli Wa 47

  1. Pro Magufuli Wa 47

    Marafiki wa Isaac, aliyekuhumiwa kwa kumtukana Rais, wamchangia mil 4.5 ya faini

    Kwa hili nadhani wangumuacha tu jamaa ajifunze kidogo
  2. Pro Magufuli Wa 47

    Mhe. Lowassa atakuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya CHASO kesho

    Zika kuwa mgeni rasmi teh teh teh CHADEMA mmeishiwa
  3. Pro Magufuli Wa 47

    Tetesi: Muswada wa fao la kujitoa kupelekwa bungeni

    Sheria ilikuwepo na ilipitishwa na wabunge hawa hawa Zitto, Lema, Mbowe na mbatia walikuwepo. Rais alieingia anafuata sheria tu wala msimuingize JPM kwenye hilo. Kwa ninavyowaamini wabunge Makini kabisa wapo CCM, hivyo watatetea na kuja na sheria nzuri mbadala yenye mbnufaa kwa wote
  4. Pro Magufuli Wa 47

    Kwanini CCM wanafurahiria Prof Lipumba kutaka kurudia uongozi CUF?

    Lakini mbona nyinyi CHADEMA (not CUF wenyewe) mnatumia nguvu kubwa sana kushawishi Prof Lipumba asirudi?
  5. Pro Magufuli Wa 47

    Kwanini CCM wanafurahiria Prof Lipumba kutaka kurudia uongozi CUF?

    Ndio Mimi ni Pro Magufuli kweli, ni ccm kweli. Kuwa mkweli huoni hatar ya kupotezwa waliyonayo CUF ndani ya UKAWA? Huoni kuwa CUF na vyama shirika ndani ya ukawa vinanyonywa tofauti na mahubir yenu yanayohamasisha usawa na haki? Cuf anachukuliwa poa na mashabiki wa ukawa haswa chadema na kuwaona...
  6. Pro Magufuli Wa 47

    Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mheshimiwa Rosemary, amemuweka ndani mkurugenzi wa Wilaya yake

    Hajala ila ajaruhusu zifanye kazi hadi sasa, ujue mashine kuharibika ni suala la emergency, hela zilivyopatikana zilipaswa pelekwa fanya kazi hiyo ya matengenezo haraka, kitendo cha kuchelewesha pasipo sababu ya maana nu hujma kwa maendeleo na wananchi. Hivyo mkuu wa wilaya kamkumbusha kuwa...
  7. Pro Magufuli Wa 47

    Kwanini CCM wanafurahiria Prof Lipumba kutaka kurudia uongozi CUF?

    Ishu si CCM wanapenda UKAWA ivunjike, Mpenda haki yeyote lazima awaonee huruma CUF walivyo vipofu na wanavyomezwa na kupotezwa ndani ya Ukawa. Ukawa haina usawa, ukawa imeundwa kumjenga CHADEMA zaidi na si kuinua upinzani kwa ujumla wao. Nani anakikumbuka NCCR now, Mabunge Mazezeta ya CUF...
  8. Pro Magufuli Wa 47

    Waziri Zanzibar atoa siku 14 walioharibu mikarafuu yake kujisalimisha, vinginevyo atasoma Albadir

    Albadir ni silaha ya Kidini na sio uchawi, wewe mtu mzima tena Muislam unaenda kufanya unyama kama huo kwa ndugu zako wa kiislam tena mwezi Mtukufu wa Ramadhan? Wallah hata asipowasomea Albadir Mwenyezi Mungu atawaadhibu. Kuna vitu sio vya kufurahia hata kama wewe ni mpinzani, niliwahi kupost...
  9. Pro Magufuli Wa 47

    Rais wangu Magufuli, huu ni wakati wa ku-act Udikteta wanaokusingizia. Anza na Jenerali Ulimwengu

    Mgekuwa mnalialiaa? Sisemi aanze na ulimwengu, Ila Ni kweli yyapasa aonyeshe kidogo makucha Ya udicteta angalau kwa mwezi mmoja
  10. Pro Magufuli Wa 47

    Silinde: Tuko tayari kwa mazungumzo na Naibu Spika

    Nasema hiviii "Shikamoo Posho"
  11. Pro Magufuli Wa 47

    CV ya Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Prof. Godius Kahyarara inatisha

    Ulitaka apewe baba yako Darasa la Saba B? Acheni siasa kila wwkati, jamaa CV yake umesimama na anastahil kuweko pale.
  12. Pro Magufuli Wa 47

    Bunge Kuzungumzia Sakata la Naibu Spika, Dk Tulia Ackson Leo

    Ukiwa na akili lazma utengwe na vilaza wa CHADEMA, wao kazi yao ni kukumbatia Wajinga wenye kipaji cha vurugu na maneno mengi ya kilaghai, hilo mmewaambukiza hadi wafuasi wao.
  13. Pro Magufuli Wa 47

    Madhara ya Spika na/au Naibu kuwa Mteule wa Rais sasa yanaonekana

    Mtarudi kWa aibu, hoja za maana hutolewa na wabunge wa ccm. Upinzani wamejaa wachumia tambo tu
  14. Pro Magufuli Wa 47

    Kitila Mkumbo awashangaa Upinzani wanaotetea vihiyo

    Hata wewe mwenye akili za Kuku unawashangaa wenyewe Udaktar wa Taaluma zao? Ukipata angalau cheti cha undergraduate ndo Uje na comments hizo
  15. Pro Magufuli Wa 47

    Ushauri: Mbowe na CHADEMA rudini Bungeni japo kwa aibu

    Kumkosoa anapokosea atamkosoa na kama umeona kakosea Saidia kukosoa. Magufuli si Mnafiki, anaita Kilaza pale unapokuwa kilaza na anakusifia pale unapostahili sifiwa. Anamsifia JK kwa mazuri yake, na atamponda kwa uzembe wa kutofuatilia, kutojar yanayoendelea
Back
Top Bottom