Recent content by privity

  1. P

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Hali ni mbaya wazazi wamepigwa ganzi kabisa. Na hawaoni, hawaelewi wala kuwaza.
  2. P

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Yaani wana-take advantage ujinga wa wazazi. Na ukiwa kwenye vikao vya shule ukiwa unahoji unaambiwa wewe mbishi na unaonekana kuwa huna hela.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Pole sana, madhara ni makubwa mno. Wazazi wapate somo katika hili; dunia ina mambo mengi mabaya; tujitahidi kutowaweka watoto katika mambo hayo.
  4. P

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Ni kweli kama mzazi unazingatia afya na ustawi wa mtoto wako, huwezi kuingia kwenye mtego huu wa kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri
  5. P

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Ni huruma kwa kweli; wazazi wamekuwa wajinga kabisa
  6. P

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Tatizo kubwa lipo kwa wateja wa hizi shule(wazazi) yaani unakuta hawana uwezo wa kuhoji chochote shule inachosema.
  7. P

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Ni kweli kabisa viwango vya kimataifa vinavyozingatia afya na utu wa mtoto; muda ni masaa 4-5 kwa siku hivyo kama masomo yanaanza saa 2.00 asubuhi ukiweka saa 5 hapo muda ni saa 7 mchana.
  8. P

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Sawa Chief; waambie ofisini kwako uwe unaenda saa 8 usiku kufanya kazi, ndicho unachoamini.
  9. P

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Jihadhari Sana na Kitu kinaitwa Vodabima. Unaweza Kupoteza Pesa Yako. Ni Mfumo wa Kubahatisha

    Haya ya Vodabima upande wa Motor-vehicle Insurance; nilipata lawana sana kutoka kwa mtu ambaye alitaka Third Part Cover. Kwa kuwa nilikuwa na hela kwenye M-PESA nikaona nitoe msaada, Kweli nikalipia ile Insurance maisha yakaendelea. Siku moja saa 6.30 usiku napokea simu jamaa ananiambia kwani...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Kuamsha mtoto saa 11.00 alfajiri kwenda shule ni ujinga na kutojali afya ya mtoto wako

    Miaka kadhaa majira ya Saa 11.20 alfajiri nipo Ubungo Maziwa nasubiri dereva wa ofisi anipitie ili tuwahi kikao pale Manispaa ya Morogoro (Mji kasoro Bahari). Nikashangazwa kuona pale kituoni kuna wadada na watoto wadogo kabisa wanasubiri School Bus; ilinisikitisha sana. Lakini nikakumbuka...
  11. P

    JamiiForums Tanzania Je, ulijua kati ya Benki 5 kubwa duniani 4 ni za China? Benki za Marekani zikifuata nyuma ya China

    Well said mdau, Hii inamaanisha nini kiuchumi?
  12. P

    JamiiForums Tanzania Masoud Kipanya: Si wote Wanaokomenti mitandaoni wakionesha kuumia ni Wana-CHADEMA, wanapigania maslahi ya nchi

    Nchi za Kiafrika zimejaa watu wa hovyo sana. Yaani mtu ambaye hana BIMA ya Afya, hana uhakika wa maisha ya uzeeni, hana uwezo wa kupeleka watoto shule, hana chochote lakini bado akisikia mtu anasema serikali inatakiwa kuboresha kitu fulani, yeye anaona kuwa anayeongea ni mpinzani. Nchi...
  13. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Looking for a female company

    Ni namna tu ya kucheza na maneno lakini ujumbe umefika:):)
  14. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Jana nikiwa sehemu na familia nikapishana na mama mwenye nyumba; hii nyumba nilipanga miaka mingi nikiwa kijana mdogo kabisa. Banda la uwahi chumba sebule self-contained, hii nyumba mpangaji nilikuwa mmoja tu; nyumba kubwa mama na watoto wake; hakukuwa na baba na sikujishughulisha kuuliza...
  15. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Group sex inaongezeka kwa kasi hapa Bongo

    Siku hizi na hizi nyumba za Airbn ndio hatari kabisa. Wanachukuana wenyewe 18 wanakwenda sehemu, wanakula, wanakunywa na kufurahi. Halafu mtu mmoja anasimama na kusema ''Jamani hapa sisi wote ni watu wazima'' Ukiongezea na mzuka wa pombe, upotofu na tamaa za kimwili basi watu wanaanza...
Back
Top Bottom