Recent content by privity

  1. P

    Miaka 20 ya JamiiForums, taja member bora wa muda wote wa jukwaa hili. "JF GOAT"

    Ni vizuri kama bado upo. Uendelee kuwa na afya njema
  2. P

    LOOSE BALL: Kama wewe umewahi kukutana na Loose Balls pitia hapa. Dondosha kisa chako hapa

    Mwenzako rikiboy kwenye ule uzi wake pendwa alianza kwa kisa chake mwenyewe. Uongozi ni kuonyesha njia.
  3. P

    Matukio: Ndoa iliisha miezi 11 baada ya mke kuzaa mtoto mwenye asili ya Kizungu

    Kwa sababu ya umri na kupungua kwa majukumu ya kazi miezi ya karibuni nimekuwa nikipata muda wa kutafakari matukio kadhaa ambayo yameacha alama kwenye maisha yangu. Aidha ni matukio yalitonitokea mimi au yaliyotokea watu wengine. Leo nitawapa tukio lilimtokea mtu wangu wa karibu kabisa ambaye...
  4. P

    What made you end up cheating?

    Hela inauwezo wa kufungua milango mingi sana, kwenye heri na shari. Muhimu ni kujua tu uitumie vipi. Ukiwa na hela na watu wakijua una hela huwa huitaji maneno mengi, huna haja ya mipango mingi wala mikakati. Kuanzia kwa dada Pump attendant kwenye kituo cha mafuta, co-workers, madam (class...
  5. P

    Nyaraka za Siri za Epstein: Kisiwa cha Mnemba kama 'Uchochoro' nchini Tanzania

    Siku ukijua kidogo tu kuhusu kushamiri kwa biashara ya utalii hasa huu wa hizi hoteli kubwa utaona dunia kwa namna tofauti sana.
  6. P

    Miaka 15 iliyopita: Nilitetea ukweli, familia ikaniona mbaya

    Wasalam, Miaka 15 iliyopita kuna uncle wangu mmoja ambaye hatukuwa tunapisha sana umri alifariki kwa ajali akiwa anatoka Dodoma kuja Dar. Labda nikupe historia kidogo ya huyu uncle ambaye pia alikuwa rafiki na mshikaji wa karibu sana. Huyu uncle alikuwa mtu wa mambo mengi sana kwenye kutafuta...
  7. P

    Friendship connect (tuunge urafiki) tafadhali!

    Tarehe 21 Mei mpaka Juni 21 hapa ni wa nyota ya Mapacha(Gemini) Tarehe 22 Novemba mpaka Desemba 21 hapa ni wa nyota ya Sagittarius Lipo jambo mtoa mada amelenga kwenye hicho anachoita urafiki. Unaweza kuwa na urafiki na mtu wa nyota yoyote, ila kwa kuwa mtoa mada amelenga makundi maalum embu...
  8. P

    Miaka 12 na Renata: Safari ya Mapenzi iliyofika mwisho ghafla....

    Sehemu ya pili..... Mama alimaliza na kuinuka kuelekea ndani. Tulibaki pale kimya kwa sekunde kadhaa, kisha Renata akaniambia unaweza kwenda. Niliinuka kwa uvivu na kuanza kutembea kuelekea getini. Ukurasa mwingine ukafunguliwa kati yangu na Renata, sasa mama yake alikuwa anajua kila kitu...
  9. P

    Miaka 12 na Renata: Safari ya Mapenzi iliyofika mwisho ghafla....

    Miaka 12 ya mapenzi, visa na mikasa nikiwa na Renata Sehemu ya kwanza Wadau kwa kuwa ni mwisho wa mwaka na nimeanza likizo nikaona bora niweke bandiko langu hapa jukwaani kuhusu mahusiano yangu yaliyodumu kwa miaka 12 na mwanamke aliyeitwa Renata lakini hatukufikia kwenye ndoa. Unajua...
  10. P

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    Mdogo wangu, acha nikishauri kidogo. 1. Ndoa sio suala la kutafutia ushauri Hapa naona vijana wengi wanaingia mkenge kwa kudhani kuwa kuoa na kuolewa ni suala la National Assembly yaani ushauri na majadiliano. Ndoa ni yako, maisha ni yako. Ukifika muda wa kuoa na ukajiona kuwa upo tayari kuoa...
  11. P

    Mnaotaka kuingia USA pitieni BAHAMAS 🇧🇸

    Kama unataka kwenda Bahamas - utafikia Nassau Paradise Island. Hapo ndipo unapoweza kuanza mipango ya kutoka Free Port (Bahamas) kuelekea Fort Lauderdale ( Pwani ya Miami - Florida) Sasa kabla hujatamani safari zingatia mambo yafuatayo:- Ni kweli kuingia unahitaji Passport lakini pia vigezo...
  12. P

    Nimeamini wanaume hawaaminiki

    Dear Ephen, Kwanza nikupongeze kwa uandishi mzuri na mtiririko mzuri wa huu uzi ulioanzisha. Kwenye uzi wako nimegundua mambo kadhaa ambayo nataka niyaeleze katika mtazamo wa mwanaume. Linapokuja suala la maisha ya ndoa au mahusiano kama ya Baba Cathe na Mama Cathe kuna mambo kadhaa. 1. Je...
  13. P

    Mtu unajirekodi chumbani ili iweje? Nina uhakika Aslay na Lukamba wameteswa sana kisaikolojia kusubiri kuziona dhambi zao zilizovuja

    Kujirekodi video ama kujipiga picha ukiwa katika tendo la ndoa/ngono/uzinzi huku ukiwa hutaki watu wazione ni dalili ya ugonjwa wa akili. Kuna haja gani ya kujirekodi wakati wa tendo na mwenzako, lengo huwa nini hasa? Watu wengi wanatembea lakini kichwani wanapitia mambo mengi yanayoathiri...
Back
Top Bottom