Hiki ni kipato kikubwa kabisa na kitatosha, pia palipo na ndoa na maelewano Mungu anaongeza riziki, atatujaalia zaidi kadri ya bidii zetu, if you're serious karibu
Well unamaanisha hamna mwanaume aliye single ,Wote wako na watu wao? inaweza kuwa kweli, ila kama bado hajaoa na hayupo kwenye serious relationship huyo namhesabia kama yupo single bado.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.