Recent content by Princessone

  1. P

    Ni lini tecno imeingia gsmarena?

    Nimezoea kuangalia simu gsmarena kabla sijanunua ila leo nimeshangaa kukutana na TECNO na INFINIX,ni lini zimeingia huko?
  2. P

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Hahahahhaha imekubali now kuanzia asubuhi ilikua inagoma Asante sana
  3. P

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    Mbona nashindwa kujoin kwa hy link? Msaada tafadhali
  4. P

    Sijawahi kuona brick-and-mortar store yoyote hapa Dar, lakini watu wana Gucci

    Unakuta mtu anauza channel baga au LV laki mbili eti original na watu wananunua Hahahhahah
  5. P

    IKULU, DAR: Rais Magufuli afanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya Barrick Prof. John L. Thornton

    Naomba mtu mwenye ufahamu kilichotekea Dominica na Saud Arabia atuelezee hapa.
Back
Top Bottom