Mkuu umenikumbusha mbali sana mimi nilikuwa napenda kucheza Kim ama na kibaba sikuzote mimi nilikuwa nakuwa mama,pía kupika pika kwenye vikopo tunachukua michele madukani hata kuiba ila daah utoto kazi ili kujipikilisha pikilisha[emoji28][emoji28],na kombolela mpaka usiku ila cha ajabu kuna watu...
Asante nimekupata haswa kwenye misingi mikuu yakufanya biashara ifanikiwe wengi tumefail hapo...mtu anafungua biashara hajui hata maendeleo yake. ..afuatilii chochote tunabaki kulaumu wafanyakazi. .Asante sana
Uwe makini na maneno unayoongea coz siri ya mtungi ajuae ni kata Wewe huwezi kuona umuhimu wake coz upo nje waache kwenye Imani zao waendelee na ukiendelea hivyo utamkosea Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.