hivi chadema ni chama cha manabii? zitto ni zawadi ya watanzania toka kwa mungu na sio mtoto wa chadema, tujadili njisi ya kuikomboa Tanzania toka mikononi mwa mafisadi tusipoteze muda kutukana zitto, ACT WAZALENDO wala chadema, kufanya hivyo ni kupoteza muda wa kujadili mambo ya msingi, I love...