Recent content by prince92

  1. prince92

    Kangi Lugola: Rais sio mchumi hajui mambo ya fedha vizuri, Mawaziri mshaurini vizuri

    Hii mbona kama ya zamani, Kama kumbukumbu zangu zipo sawa.
  2. prince92

    Aliyeyaona ya Mrema 1995-2000 hawezi kuyashangaa ya Zitto 2015-2020

    Ninachokiona katika huu uzi ni kuwafarakanisha watu wa upande ule ili wasiaminiane.
  3. prince92

    Niyonzima apewa jezi namba 8 Yanga, mshahara wake Kagere akasome

    Hii yote ni kujitahidi kuficha aibu ya tarehe 4 ili jezi za alizeti ziuzike zaidi.Basi sawa ila kumbukeni kuna jela na guest(Mishahara na malumbano baadae).
  4. prince92

    Hii timu inayoshindiliwa magoli na Simba huko Dar ni ya wapi?

    Njia pekee ya Nyuki Fc kuifunga SIMBA ni kuingia na refa wao na visu vya kuwachoma au kuwatisha wachezaj wa SIMBA.Vinginevyo kuna mchezaji anaenda kuvunja rekodi ya kibadeni.
  5. prince92

    Kusajili sio kazi, kazi kulipa mishahara

    Acha wafu(Nyuki Fc) wazikane.
  6. prince92

    Naongea na SIMBA

    Wachezaji tumekusikia tutajipigia wale vibwengo kipigo cha kihistoria.
  7. prince92

    Vyanzo vya kutetemeka kwa usukani

    Tusio na magari tusome comment tu.
  8. prince92

    Sasa ni rasmi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul C. Makonda ana Akili, Elimu na Ufahamu mkubwa kuliko Watanzania wote

    9 disemba ni UHURU wa Tanganyika(Tanzania bara) na sio sherehe za uhuru wa Tanganyika na Zanzibar kama mtoa hoja ulivyotudanganya pia.Japo BASHITE nae kachapia.Ni kama Zanzibar zinavyofanyika sherehe za Mapinduzi.
  9. prince92

    Diamond Platinumz punguza uongo na kujikweza, wadanganye hukohuko Insta

    This year's headline act is Diamond Platnumz from Tanzania.Hii sentensi ina maana sana.
  10. prince92

    Katibu Mkuu wa CCM atoa onyo kwa Membe akimtaka kutokuwa juu ya katiba ya chama

    Kuna watu wanaandaliwa mgombea hapa 2020 wampokee.Na walivyo weupe kichwani unaweza ukashangaa akapata shavu upande wa pili.
  11. prince92

    Viongozi wa Vyama vya Upinzani kushindwa kutoka Madarakani sababu ni kazi nzuri au kuna jambo la Binafsi?

    Tatizo kubwa la vyama vya upinzani viongozi wake ndio wenye pesa zaidi kuliko wengine. Ila akikaa masikini na mwenye uzalendo pale hatomaliza miaka ya kikatiba hata kama atafanya vizuri. Kwasababu hatokuwa na timu ya kuilipa ili imshangilie kwahyo umasikini wa kipato na akili wa sisi vijana...
  12. prince92

    Jiji la Dar kurindima leo wakati Freeman Mbowe akikabidhiwa fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

    Hii nchi ili usiumie sana nafsi yako usijihusishe na SIASA.Vinginevyo utaumiza nafsi yako tu maana wanasiasa wanafanana tofauti ni mmoja ana nafasi ya kukandamiza zaidi na mwingine ana nafasi ya kukandamiza wa chini yake.Bado hajapata nafasi ya kukandamiza wengi zaidi.
  13. prince92

    Tusidanganyane: Mbowe bado anataka kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA

    Siku CCM wakiamua kubadili katiba ya nchi kwa wingi wao bungeni ili kiongozi wa nchi aruhusiwe kugombea zaidi ya mara moja.Sijui ni Chama gani cha upinzani kitakuwa na nguvu ya kupinga maana CCM watakuwa na hoja fupi tu,Kuwa tunawaiga nyinyi huo mfumo maana tumeona unamanufaa kwa kiongoz anapata...
  14. prince92

    CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

    Zitto atakuwa mjinga sana kama atatoa Chama chake katika uchaguzi maana haina faida kubwa kulko hasara zake.Wapinzani kwa viherehere vyao hadi walihamasisha watu kujiandikisha wakati zoezi liliposuasua sasa wananchi wamejiandikisha halafu mjitoe tena.Ni ujinga kama watafikiria kuisusia UCHAGUZI...
Back
Top Bottom