kutoka dar city center adi mbezi hakuna open space serekali ya ukawa iligawa zaidi hiyo moja tu huko mbezi waliko mbomolea huyo mama kweli serekali mpya ya chama kimpya inafanya kazi!!
kweli mungu hata walaani kwakitendo chakutoka dar city center kufuata nyumba moja tu huku mbezi ya mfuasi wa...
Ndio ushangae kwann hatufanikiwa....km MTU anatumia kilicho chako kupata mafanikio afu wewe unashindwa bogas kabisa...imagine wangejaliwa vikubwa km vyetu tungewapata hawa
Kaka inauma unafanya kazi unateseka unalipa kodi kila sehemu na sehemu zingine tunalipa mara 2 ila awalioni zen pesa zetu wanaonga watoto washule kunywa pombe na kutembelea kila aina ya magari
Sijajua ata bungeni kuna sehemu wanatumia au wanakua washajiandaa kufanya madudu,Km watunga na kuzisoma sheria wanafanyamadudu sisi tufanyaje au wanatufundisha nn hapa ndo napokubali bunge lirushwe recorded, mtoto mdogo anaeimizwa kuangalia bunge akafanyeje shuleni na mtaani aisee huu ni...
Wanapindisha ukweli au sijui ndo mwisho wao wa kufikili cjajua mantiki yao, sitetei hoja ya vijana ila kwenye ukweli uongo ujitenga kuna usemi unaosema mtoto akililia moto mpe ashike sasa iweje ulazimishe kutubebesha mzigo mzito uku wao wakila bata
Asante sana kk ironga maana awa ndo wale we unanyonywa unajifanya bado unatetea
Aya makubwa tanzania sikuizi kama somalia matukio ya hivi ni mengi na hatujui anaehusika ila onyo tisipoangalia yale ya nigeria na kwingineko yatatujusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.