Sasa kaka kwani hizo hela ulishindwa hata kuwasaidia wazazi wako. Huyo hana mpango na ww kwanza hakukupenda alipenda hela zako. Kubali 2 umetoa sadaka ambayo haina thawabu yoyote. Huyo kakufanya ATM. So kama unataka uendelee kuwa ATM nenda kamwombe msamaha umfanyie anafyotaka halafu baadae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.