Natafuta dada wa kazi za ndani

Natafuta dada wa kazi za ndani

Aisee watu wakiwa kama kumi hii nchi tutafika mbali sio hawa watu wanamtetea huyu jamaa eti anasema kula kulala TAJIRI ANA DHARAU HATARI
Kwani umelazimishwa?

Ukiona hiyo ofa haikufai si utafute kazi sehemu nyingine ,kwani ni lazima uwe beki tatu wa mleta mada?
 
Mkuu shida kuleta sheet zake za kusema kula na kulala juu yake kwa hiyo anaona hivyo ni vitu vya maana sana mpaka amlipe kimshahara hiko asingeweka hiyo point ningemuelewa


LAKINI NDO UWEZO wake ulipo! mwingne anaenda na kurud hana sehem ya kumuweka!yupo sawa!

bdw alafu ni shit....sio sheet(shuka)
 
Mapovu ya nini?Nyie mabeki tatu wa siku hizi mna dharau sana kwa mabosi wenu hapo tu hajakuhakikishia kukuajiri,je angekuajiri ingekuaje?

Embu tumia busara ukiwa humu JF.

Matusi na Kebehi ziache huko kwa watoto wenzako FB au IG.

Mleta mada kaweka wazi mshahara atakao utoa na ofa ambayo anaimudu kulingana na kipato chake.

Kama unaona mshahara wake mdogo basi mtafute tajiri mwengine atakaye kulipa pesa zaidi ya hiyo aliyoitaja mleta mada.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaosema mshahara hautoshi wanaishi kwa wazazi ambao hawana uwezo wakuingiza 10,000 kwa mwezi
50,000 kwa mtu unaemuhudumia kilakitu inatosha kabisa
 
Nahitaji dada wa kazi za ndani. Kula, kulala na matibabu ya kawaida gharama kwangu. Mshahara Tsh 50000 kwa mwezi.
Huyu mmama ana mtoto.
Namba yake hii 0713303246
Yuko dar.
Kwa anayehitaji mfanyakazi wa ndani ampigie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom