Recent content by Pride Kiabakari

  1. P

    JamiiForums Tanzania Majumba marefu huko Gaza yanaporomoshwa na nashambulizi ya IDF!!

    Kwa ambao hatukuwepo enzi Berlin conference ushuhuda ni huo Israel kuchukuwa ardhi kw lazima na Rusia kuchukua ardhi ya Ukraine na marekani kuitaka Venezuela na China kuitaka Taiwan n.k wakimaliza huko watakuja Tz na nchi nyingi za Africa watakuja na hatutawafanya chochote japo enzi hizo Babu...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    Kosa ulilitengeneza mwenyewe hutakiwi kumlaumu mwanamke. Kwa vile kosa ni lako unatakiwa umsamehe muendelee kutunza familia. Kama angesababisha yeye hilo kosa basi ungempa talaka na hili liwe funzo kw wanaume wote mnaoacha wake zenu miezi kadhaa had mwaka yeye si malaika. Ana hisia kam ulivyo...
  3. P

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watu Wasitengeneze Videos! Ukweli Ni Huu - Samia Alipogoma Kutoka ukumbini

    Mama Samia alikuwa anamalizia kwa mujibu wa katiba sasa ndio anaanza awamu yake hivyo tumuombee kwa.Mungu amalize miaka yake 10 hadi 2035
  4. P

    JamiiForums Tanzania Elimu yetu inabidi kutazamwa upya. Haiwezekani mtu ajiite Prof huku hajui kiingereza

    Inatakiwa ujitazame wewe na elimu yako kwanza kw kushindwa kutofautisha kuwa professor na lugha ya kiingereza
  5. P

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ana hoja. Haya makaa ya mawe yanayosafirishwa maelfu ya Tani Kila siku kwenda nje ni utajiri ambao ungetunufaisha hapa Nchini

    Kwenye makaa ya mawe na chuma msimulaumu bi mkubwa kwa kuwa waliopita wote wameikuta mikataba na wemeiacha na bi mkubwa naye msimuangushie jumba bovu lililowashinda waliomtangulia
  6. P

    JamiiForums Tanzania Raia Goma wakusanyika kuwapokea viongozi wapya

    Kama Tangazo limetoka siku 3 mfululizo kuwataka wananchi kwenda uwanjani la sivyo atakayebakia home atapigwa risasi unafikirije hapo ?
  7. P

    JamiiForums Tanzania Jinsi Lissu alivyoushtukia mtego uliopangwa na mamlaka wakishirikiana na Dkt. Slaa

    Watu wakubwa ktk nchi hawawekwi lupango kam watu wa kawaida ktk jamii bali sehemu maalumu ya kupata huduma zote ambazo unaweza ukazipata ukiwa nyumbani kwako
  8. P

    JamiiForums Tanzania Dr Aikande Kwayu wa CHADEMA: Kama mnaona CHADEMA chini ya Mbowe inasuasua nendeni vyama vingine. Kuna vyama vingine 19 nchini

    Hivi kwenye nafikria kw hekaheka hizi Mwenyekiti wa uchaguzi wa CHADEMA anamtangaza Tundu Lisu ndiyo mshindi wa uchaguzi afu Mwenyekiti anayemaliza muda wake anagomea matokeo na ufunguo wa ofisi hataki kutoa yeye na wafuasi wake nini kitatokea?
  9. P

    JamiiForums Tanzania Nawatakia heri ya Christmas na maandalizi mema ya mapumziko ya mwaka mpya 2025 wajumbe wote wa mkutano mkuu wa CHADEMA taifa

    Hili andiko limenikumbusha Ahmed alivyotaka kuchukuwa form ya urais akaambiwa si mtanzania mara ataleta vita mara......n.k hivyo nikawaida ya wanasiasa wakitafuta madaraka hutumia njia zote za siri na za dhahiri ilmradi wabakie madarakani hakika aliyeandika kitabu cha the door of no return...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Tusiime Holding inaweza kupigwa mnada kutokana na madeni yanayowakabili

    Kila mfanyabiashara akifilisika mnailaumu serikali dah kw hiyo utumie Mali zako kw maharusi na matanuzi dubai afu serikali ije ikufidie itafidia wangapi tz hii?
  11. P

    JamiiForums Tanzania Zitto: T249 CMV limemteka Nondo, mmiliki ni Deo Beda

    Tunapoelekea sasa kila mmoja atatembea na siraha yake ya kujilinda bora Wamasai walishazoea kutembea nazo za kujilinda
  12. P

    JamiiForums Tanzania Mimi naelewa madhara ya kutumia dawa za kuongeza nguvu. So inahitajika pia ushauri wa Kisaikolojia kwa Team ya Yanga

    Hili jambo la madawa kuwa mateja walikuwa wanabost inabidi lifike mwisho ndio maana viongozi hawataki kulisikia kw kuwa hivi vilabu viwili ndio nembo ya nchi na ndio huliingizia taifa fedha za kigeni hivyo hili jambo inabidi liishe lisifike duniani
  13. P

    JamiiForums Tanzania Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

    Nimeishi ubaruku nikawa naenda mbeya kufuata spear za trakta lkn inasikitisha baadhi ya vifaa tulikuwa tunaagiza kutoka Arusha.nikaenda mpanda Katavi ukienda mbeya hivyo vifaa hamna ukiagiza Arusha kinakuja hivyo nikajua Mbeya agiza vyakula tu hapo utapata muda wowote lkn si vya viwandani...
  14. P

    JamiiForums Tanzania Zamani kulikuwa na kumbi za video, kama vile kumbi za cinema za siku hizi

    Umenikumbusha nilikuwa Visiwani Nkome huko mesome tunavua samaki jioni baada ya shughuli za uvuvi mnaingia bandan kutazama kweli watoto tulisimama mlangoni kumsubiria msamalia mwema aje atulipie ivo kila aliyekuja mnamuangalia kw huruma ili awalipie akishawalipia mnakaa mbele baada ya boringo za...
Back
Top Bottom