TANESCO MBONA NIMEMNYANG’ANYA MPANGAJI WANGU REMOTE YA KUINGIZIA LUKU ILI ALALE GIZA KWAKUA AMEKATAA KUNILIPA KODI YANGU ILA NASHANGAA AMEWEZA KUWEKA UMEME BILA HIKI KIMITA CHA KUWEKEA UMEME, ATAKUWA AMETUMIA NJIA GANI NA NIFANYE NINI ILI KUDHIBITI NJIA HIYO.
Naombeni Msaada wenu,
Nimempeleka ustawi wa jamii mwanamke alienizalia mwanangu ili ikiwezekana anipe mwanangu nimlee mwenyewe kwani mazingira anayoishi nae mwanangu hayaniridhishi. Lakini Ustawi wa jamii inaonekana ipo kuwatetea wanawake na sio wanaume kwani licha ya kuwaambia naitaji nimlee...
NACTE mmetupa majibu bila ya uthibitisho chuoni (confirmation) sasa tuwaelewe vipi mana hatujui hatima yetu hadi Lini Mana Nimeenda chuo kuchukua Admission latter nimeambiwa hatukutambui jina lako halipo. Daah mwenye kujua zaidi kuhusu hili tupeane ushauri...!!
Vyuo nilivyoomba wameshatoa majina yao Mimi simo, Profile yangu sijaambiwa kama niombe tena sasa Niwaeleweje hawa NACTE Naomba msaada kwa anaeelewa chochote...
Naomba msaada wenu hivi tulioomba vyuo kwa kutumia NACTE majina waliochaguliwa yanawekwa kwenye website ya NACTE au yanawekwa kwenye website ya vyuo pamoja na wale Fresh. Maana kuna ndugu yangu kaomba UDSM na UDOM ila majina yametoka yeye hayumo, na kwenye profile yake hajaandikiwa chochote na...
Naomba msaada wenu hivi tulioomba vyuo kwa kutumia NACTE majina waliochaguliwa yanawekwa kwenye website ya NACTE au yanawekwa kwenye website ya vyuo pamoja na wale Fresh. Maana kuna ndugu yangu kaomba UDSM na UDOM ila majina yametoka yeye hayumo, na kwenye profile yake hajaandikiwa chochote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.