Recent content by Preciousvision

  1. P

    JamiiForums Tanzania Hoja za Lema zinafichua mengi nyuma ya pazia ndani ya CHADEMA

    We ni zumbukuku kweli kwani hao wanachama hawalipi ada ya mwaka? Na ruzuku wangeipataje kila uchaguzi wanakimbia, tuliwaambia chadema hakuna mwenye akili wote ni nyumbu zero brain, Lissu ndiyo hopeless kabisa, Mbowe aliendesha chama hicho zaidi ya miaka 25 bila tone tone ikiwa na wanachama...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Hoja za Lema zinafichua mengi nyuma ya pazia ndani ya CHADEMA

    Hao ni wanachama wa kufikirika, hakuna ht wanachama milioni moja
  3. P

    JamiiForums Tanzania Ujumbe maalumu kwa Mzee Jaji Warioba

    Kwl nyumbu wameishiwa mpk huyo ajuza asiye na uwezo wwte amekuwa keki kwenu?
  4. P

    JamiiForums Tanzania Ujumbe maalumu kwa Mzee Jaji Warioba

    Acha kulinganisha baba wa Taifa na mtu aliyefukuzwa uwaziri mkuu
  5. P

    JamiiForums Tanzania Ujumbe maalumu kwa Mzee Jaji Warioba

    We kwl ni bwege, yule babu ameshajichokea anaweza kufanya nini, hana ushawishi wowote wameenda tu kumjulia hali, CCM ina hazina nyingi sana Warioba ni mtu aliyefukuzwa uwaziri mkuu hana rekodi yyte
  6. P

    JamiiForums Tanzania Wote mliofurahia kifo cha hayati JPM leo hii mnaona aibu namna taifa letu linavyopelekwa. Mpo humu jukwaani na mnaona aibu

    We ni wale sukuma gang,hakuna katili aliyenyanyasa na kuua watanzania km Magufuli
  7. P

    JamiiForums Tanzania Wote mliofurahia kifo cha hayati JPM leo hii mnaona aibu namna taifa letu linavyopelekwa. Mpo humu jukwaani na mnaona aibu

    We mburukenge peleka upuuzi wako huko, hiyo aibu unaiona wewe. Huyo mfu wako hakuna alichofanya nchi zaidi ya kumfundisha Samia ubinafsi na kuifagawa nchi. Mwangalie Samia sahv kila kitu Tunguu-Zanzibar km Magufuli na Chato enzi za uhai wake. Hao wote ni kitu kimoja wametuharibia nchi yetu
  8. P

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

    Hakika chadema ni laana kwa nchi hii. Hebu fikiria mpuuzi moja km huyu anazusha upuuzi na mazuzu sijui bila kuelewa au makusudi wanachangia uchafu km huu. Ndiyo chama mbadala wa CCM! Aibu naona mimi!
  9. P

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Amegeukwa na Boss wake?

    We ulikuwepo wakati anaahidiwa? Kwl siku hizi huwezi jua yupi mwanamke na nani mwanaume halisi. Ndiyo maana ni mashoga
  10. P

    JamiiForums Tanzania Bei ya umeme nchini Ethiopia ni kama miujiza

    Kahamie huko unasubiri nini
  11. P

    JamiiForums Tanzania Ni lini Heche atajiuzulu kupisha uchunguzi?

    Na kwl ni mpya hawajazoea
  12. P

    JamiiForums Tanzania Ni lini Heche atajiuzulu kupisha uchunguzi?

    Mwone nyumbu wa kwanza huyo, ht hajaelewa somo
  13. P

    JamiiForums Tanzania Ni lini Heche atajiuzulu kupisha uchunguzi?

    Hao nyumbu wanachojua ni kutuhumu wenzao wao wanajionaga wako sawa hata wakiiba
  14. P

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa Waliopigwa Chini na Samia Kuelekea 2024-2025

    Umeandika upuuzi tu, Mpango na Majakiwa umejizushia upuuzi wako tu. Eti Biteko sijui nini? Sazingine ni bora ukae kimya kuliko kuandika uchafu km huu
Back
Top Bottom