SGR? Kwamba abiria wote nchi hii wanaenda Dodoma? Huna hoja, wakati hiyo stand inajengwa kwa mabilioni hao TABOA walikuwa hawaoni? Nchi hii ina uongozi wasikilizeni, tunajua matajiri hawapendi kuongozwa wangetamani kusiwe hata na serikali, hivyo viofisi vyenu ni uchafu mitaani
Lioneni hili zombie! Yote haya serikali imefunga ushahidi? Kwani mashahidi wanapiga kura mpaka wawe wengi? Mlitaka wawe wangapi? Chadomo ni Mazuzu, chama kimeshawafia lakini hawajitambui, hakina hata diwani moja bado wanajipongeza eti chama kimeimarika, hawa ni wa kupuuzwa ni wehu
CCM haiwezi kununua hayo magarasha, CCM ina watu wengi sana wenye uwezo takataka km Heche CCM iipeleke wapi? Acheni kujiuza km makahaba yanajizungusha kutafuta wateja
Tapeli tu huyo km Joseph Kibwetere. Kwanza yeye siyo mwenyekiti, hiyo ni insubordination kwa mwenyekiti. Chadema ilijitoa uchaguzi kwa kukata kusaini maadili ya uchaguzi kabla Lissu hajakamatwa, akwende huko na uwongo wake. Ni aibu kiongozi wa kitaifa kuwa mwongo, hilo chama lenu ni ng'ombe...
Kuhusu mpira wa Simba na Yanga Kinachowasumbua chadema ni wivu wa kike walitamani wale mashabiki wawe wa kwao, hakuna kingine! Siasa za kishamba za kulazimishana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.