We ni zumbukuku kweli kwani hao wanachama hawalipi ada ya mwaka? Na ruzuku wangeipataje kila uchaguzi wanakimbia, tuliwaambia chadema hakuna mwenye akili wote ni nyumbu zero brain, Lissu ndiyo hopeless kabisa, Mbowe aliendesha chama hicho zaidi ya miaka 25 bila tone tone ikiwa na wanachama...
We kwl ni bwege, yule babu ameshajichokea anaweza kufanya nini, hana ushawishi wowote wameenda tu kumjulia hali, CCM ina hazina nyingi sana Warioba ni mtu aliyefukuzwa uwaziri mkuu hana rekodi yyte
We mburukenge peleka upuuzi wako huko, hiyo aibu unaiona wewe. Huyo mfu wako hakuna alichofanya nchi zaidi ya kumfundisha Samia ubinafsi na kuifagawa nchi. Mwangalie Samia sahv kila kitu Tunguu-Zanzibar km Magufuli na Chato enzi za uhai wake. Hao wote ni kitu kimoja wametuharibia nchi yetu
Hakika chadema ni laana kwa nchi hii. Hebu fikiria mpuuzi moja km huyu anazusha upuuzi na mazuzu sijui bila kuelewa au makusudi wanachangia uchafu km huu. Ndiyo chama mbadala wa CCM! Aibu naona mimi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.