Sasa ulivyo huna haya tuseme ùnajua sheria kuliko wale majaji? We ni zumbukuku tu sema umeumia huyo lofa wenu kuumbuliwa. Kielelezo ambacho hakijafuata taratibu za kisheria isingekubaliwa na kumbuka mshtakiwa ni mwanasheria asingekubali. Acheni ujuaji wa kipuuzi wakati kihalisia hamjui chochote
Kwa mwafrika kuandika huu upuuzi ni aibu! Ndiyo maana wazungu wanawaona km nyani tu! Roman Catholic haimjui hata huyo Mungu wa kweli, hiyo ni ile himaya ya Roma (Roman Empire) imebadiliki mbinu ya kuendelea kuitawala dunia.
Wazungu walishawakataa sasa wamewekeza Africa kwa wenye akili ndogo...
Hiyo milioni 3 ndiyo kodi ya serikali. Ila hili suala ndiyo linatufumbua macho kwamba zile zawadi zinazotangazwa siyo za kweli ni utapeli na ni njia ya kushawishi wengine zaidi. Kweli hatuna serikali wala mahakama. Hii CCM ni kwamba hakuna chama mbadala vinginevyo CCM ni sehemu ya wezi...
Hv we mwanamme mzima na pumbu zako hao malaya wakiokimbia nchi wanaweza kutuamulia hatma ya nchi yetu? Mangi Kimavi siyo mtanzania tena ni Mmarekani anachotafuta ni kuiangamiza hii nchi. Huyo Maria yuko ukimbizini Kenya, ni aibu wanaume rijali kujadili hao makahaba
Ni nyani mweusi km wewe ndiyo anahusudu lugha za watu. Kule Ujerumani, Russia, China, Japan, Ufaransa wameendelea wanatumia hicho lugha? Una-promote hiyo lugha labda una ka-English medium. Hata hivyo hivi viinglish medium vya Bongo wanatoka watupu, mtoto akitoka tu mlango wa darasa ni kiswahili...
Hata hizo akili za darasani ni ya kawaida tu, wenzake wana First Class za LLB, ye ana nini? Sanasana ubishi, wenye akili zao hawanaga kelele. Ngosha anyooshwe na Nassoro Katuga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.