Wakuu, nipo Kigoma town, changamoto iliyopo hapa ni purchasing power ni ndogo, watu ni wachache kwahiyo mzunguko sio mzuri sana, Mimi ni mtumishi wa umma.
Idea nilikua nayo kama 3.
1.phone accecories
Huku charge wanauza 8000, protector 5000, n.k bei zipo juu kweli kweli, niliwaza kufanya hii...
Dah nina million 8 nawaza niifanyeje nafaka nipo kigoma, niifungue store ya mchele na maharage kutoka mpanda? Au nifanyaje? Wakuu mawazo, changamoto ya kigoma population ndogo
Mimi ndio nilichokifanya, licha ya kupata div 2 point 10 pcb, nilivyomaliza education mwezi wa 7, mwaka uliofata nikaingia kwenye system, mapambano yanaanzia hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.