Recent content by Prakatatumba abaabaabaa

  1. Prakatatumba abaabaabaa

    Huwa Kuna Uhusiano Mkubwa Kati ya MTU kua Mjinga( Uwezo kiduchu wa akili) na Uwezo wa Kiuongozi/Kiutendaji

    Nchi ngumu hii, ngumu kinoma mzee, watu wanakula mpaka wanaimaliza cha ajabu mabilioni yanatengenezwa mabango . Noma sana
  2. Prakatatumba abaabaabaa

    Bei ya mbaazi haina tija kwa mkulima

    Jana nimeenda pale kasulu 400 -500 si utoto huo?
  3. Prakatatumba abaabaabaa

    Dark days 17/03/20

    Viongozi hawa hawa ambao wanajazana familia? Viongozi hawa ambao wana miliki mansion za kutosha?
  4. Prakatatumba abaabaabaa

    Namna matajiri wanavyotajirika zaidi kwa kufanya biashara ya nafaka

    Motivation speaker mmoja anaitwa kelvin kibenje anashirikiana na dada mmoja mwenye matako makubwa kuwapiga wajinga hela ya seminar
  5. Prakatatumba abaabaabaa

    Kwa Million 8 nifanye biashara ya nafaka kwa njia ipi? Njia ninayowaza ni hii

    Wakuu, nipo Kigoma town, changamoto iliyopo hapa ni purchasing power ni ndogo, watu ni wachache kwahiyo mzunguko sio mzuri sana, Mimi ni mtumishi wa umma. Idea nilikua nayo kama 3. 1.phone accecories Huku charge wanauza 8000, protector 5000, n.k bei zipo juu kweli kweli, niliwaza kufanya hii...
  6. Prakatatumba abaabaabaa

    Namna matajiri wanavyotajirika zaidi kwa kufanya biashara ya nafaka

    Dah nina million 8 nawaza niifanyeje nafaka nipo kigoma, niifungue store ya mchele na maharage kutoka mpanda? Au nifanyaje? Wakuu mawazo, changamoto ya kigoma population ndogo
  7. Prakatatumba abaabaabaa

    Nimemaliza kidato cha 6 PCB mwaka 2024 na kubahatika kupata 1.9, naombeni ushauri

    Mimi ndio nilichokifanya, licha ya kupata div 2 point 10 pcb, nilivyomaliza education mwezi wa 7, mwaka uliofata nikaingia kwenye system, mapambano yanaanzia hapa.
Back
Top Bottom