Kama upo BOT au TRA mama anaweza kuwa na sababu, ila kama sijui mwalimu, police aah, kingine huyu dogo ni homeboy wangu so namfahamu baba yake ni mfanyabiashara mzuri tu
Nadhani hili mentality ipo sana kwa wazazi wetu hasa ambao.
Hawakufika shule nadhani, waliishi katika dunia ambayo waliamini kuajiriwa ndio kila kitu.
Week iliyopita nilikua kwenye mji mmoja unaitwa Msalala geita hapo, kuna harakati sana za madini, nikakutana na homeboy wangu mmoja...
Unajua kizazi cha leo kukuta dogo under 30 anamiliki kampuni au yuko financial freedom ni simple sana, wakati sisi millennia tulipata stable economy 40+
Millennia waliamini kusoma ni ufunguo wa maisha, matokeo yake wameshika viti ofisini hawataki kwenda kusoma kuongeza elimu, akipata likizo...
Umeandika kitaalamu sana, lakini mambo ya biashara kufa ni mengi mno.
Serikali yako kwanza haijali biashara yako kukua, iko sio jukumu lao, wenyewe wakupe mzigo wa kodi wanunue V8,..kodi kama zote.
Pili ni ushindani wa biashara, maeneo mazuri ya biashara tayari yameshajaa, so mtu anatafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.