Jana mnamo saa kumi na mbili njioni rais Kikwete aliwasili Ikulu ya Singida kwa ajili ya maandalizi ya kuhudhuria kuingizwa kazini askofu wa KKKT.Hilo kubwa ambalo nimeambiwa,ila kilicho nisikitisha ni utumiaji mbaya wa kodi za wanaichi msafara mkubwa mno jamani hata ndani kuna kujifunza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.