Recent content by Powertiller

  1. P

    Mwanamichezo nyota wa Gaza afa kwa njaa

    Lazima wewe ni binadam mwenye roho ya mnyama, usiye na chembe ya huruma,, ila jifunze kua na huruma na binadam wenzako japo kidogo
  2. P

    Askofu Ruwa’ichi: Kwa yanayoendelea Tanzania kwasasa hatupaswi kujiita Kisiwa cha Amani

    Nilitegemea ungeleta walau utitiri wa video tena kwa makanisa mengi kama ilivyo leo,makanisa yamegeuka kua majukwaa ya siasa,nategemea kuona matamko ya kupinga uchaguzi wa 2019 na Ule wa 2020 , nategemea kuona matamko ya kupotea Ben saa nane,nategemea kuona matamko ya wafanya biashara ambao...
  3. P

    Kwa jicho la tatu Tanzania udini umeshatokeza hadharani

    Wakati Lisu anapigwa risasi wote tuliona ukosoaji ulivyokua wakinafki,hatujaona matamko ya dhati na msimamo wa kanisa,hatujaona maandamano kama ya leo ya no reform,uchaguzi wa 2019 na Ule wa 2020 wote tunajua kilichotokea ila cha ajabu leo matamko yanakua mengi kuhusu mwenendo wa uchaguzi na...
  4. P

    Askofu Ruwa’ichi: Kwa yanayoendelea Tanzania kwasasa hatupaswi kujiita Kisiwa cha Amani

    Mkuu nikumbushe matamko waliyotoa hawa wakosoaji wa Sasa kipindi kile wasiojulikana waliposhika Kasi Hadi kutaka kumuua Lisu, au Yale hayakua mauaji? Ni makanisa mangapi yalionya kuhusu uvunjifu wa amani? Kwamba mmekua wasahaulifu au mlinufaika na utawala ule na Sasa hamnufaiki tena?
  5. P

    Magonjwa ya Nyanya.

    Mkuu hao ni wadudu wameshambulia nyanya yako, wanaitwa Tuta Absoluta ( kantangaze) , jitahidi utafute Dawa yoyote yenye Chlorfenapyl mfano ukipata SNOW TIGER utamaliza tatizo, au hata Zenye Emamectin Benzoate kama shida sio. kubwa sana
  6. P

    Madaktari wa mifugo nisaidie kuhusu tatizo la ng'ombe

    Mkuu nakubaliana na wewe kabisa,hiyo ni dalili ya minyoo,hivyo anapaswa kutumia dawa ya minyoo,but sio albendazole Bali atumie ivermectin ambayo inachomwa chini ya ngozi,Mana inaonyesha minyoo wameathiri hadi ngozi,kwahiyo kwa matokeo ya haraka aachane na albendazole
  7. P

    Pata powertilla aina ya kubota na usafiri bure ndani ya Tanzania

    Mkuu mimi tayari ninayo,ila kuna spea zimezingua na nashindwa kuzipata, Powertiller Yenyewe imetengenezwa Korea na inaitwa DAEDONG ,Naomba nisaidie upatikanaji wa spea zake,
  8. P

    Swali la kichokozi: Pamoja na Watumishi hewa kuondolewa na Serikali kutokuongeza mishahara, mbona gharama za mishahara zinapanda kila uchwao?

    Huyu jamaa sijawahi kumuelewa hata siku moja,anapost kitoto Sana, amesahau jf ni home of great thinkers
  9. P

    Kwa wataalamu wa kilimo cha pilipili

    Tuma picha Mkuu tuone shida,kwa maelezo matupu bila picha utapata majibu yasiyo sahihi
  10. P

    Agricultural lime - Chokaa mazao

    Chokaa yoyote ni majivu ya jiwe lililochomwa kwenye moto, hivyo nijuavyo Mimi chokaa yoyote inafaa kwenye kilimo,ila itumike kwa kiasi kisichozidi gram 10 kwa kila shimo
  11. P

    Tuzidishe kuwaombea masheikh waliowekwa rumande miaka 7 kwa dhulma nchini Tanzania

    Ungeonyesha walau kwa ufupi makosa yao,mnapoendelea kuwashikilia kwa dhulma kumbukeni pia kua wale ni viongizi Wa kiimani na wanaheshimiwa na waumini wao, kama nikweli wana makosa sisi hatutetei uhalifu,ila mbona haki haipo? In upelelezi gani usikamilike kwa miaka 6 sasa? Tens ukiwa umemshikilia...
  12. P

    Power tiller special thread

    Natafuta spare za Powertiller ya Korea Inaitwa DAEDONG, natafuta cylinder head gasket, naomba msaada wa kuipata
  13. P

    Wizara ya Kilimo tusaidieni. Tuna tatizo jingine kubwa wakulima wa mahindi

    Ishauri serikali yako iwape usafiri na mafuta kisha uje tena na hoja yako
  14. P

    Msaada wa haraka: Mahindi yangu yana tatizo hili

    Pole sana Mkuu, hao ni wadudu ( stalk borer) wanashambulia sehem ya jani changa na mwisho kusababisha Mme a kudumaa na hatimaye kufa. Wahi mapema kwa moja kati ya viuadudu hivi ; duduall au dudumectin au Imida au Atakan au Multi Alpha au Dume au fiprofarm au spidex....ukikosa hizo muombe muuzaji...
Back
Top Bottom