Kihelele kimewaponza wanafikiri kila taarifa ni ya kutoa kwa kuwa umejua, kila kitu kinamipika na miiko.
Usimuige tundu lissu kwa kuwa alisema yeye ni mwanasiasa na inawezekana kwa kusema hayo ni sehemu ya kutengeneza status yake katika kazi yake, sasa wewe kajambanani mmoja kutoka chifutuka...
Vipimo fake huko uarabuni, na South.
Wanataka kuaminisha dunia kuwa Tanzania tuna waathirika wengi wa covid.
Kama kufa kupo kupo tu hata isingekuwepo hiyo covid tungekufa tu.
Asilimia kubwa ya watanzania ni vilaza, vilaza ni watu wenye sifa pia ya kutojitambua wala kufikiria kabla ya kunena.
Sishangai kuona wengi humu wanawesema vibaya walimu isipo kuwa wachache makini tukiendelea kushukuru fadhira za walimu wetu kwa hata haya maarifa tuliyonayo.
Kilaza wewe ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.