Habari za Jumapili wana JF,
Nimesafiri nipo maeneo fulani hivi huku Ifakara Upogoroni, nipo kikazi. Kwa kweli wenyeji wangu wamenipokea vizuri sana, iIa naomba mnisaidie kwa yeyote anayejua kiundani tabia za kabila la huku hususani hawa mabinti
Manake ntakuwepo huku for almost 2months, nadhani...
Naomba kuuliza!!!Nina shemeji yangu ana Diploma ya IT anataka kuendelea na Degree ameniuliza ni kozi gani tofauti na IT anaweza endelea nayo ambayo anaruhusiwa kuomba nafasi ya chuo?Na ipi ni marketable?
Mi nilizani amekuzidi miaka kumbe ni miezi!!!!Mi nina mtu namfahamu amepitwa miaka 20 na mumewe lakini wapo powa tu!!!!sembuse wewe anakuzidi miezi kadhaa!!!!
Nadhani mtakumbuka wiki mbili zimepita tangu nilipowaeleza kisa cha yule rafiki yangu na mchumba wake ambaye ni mwalimu huko Moro!
Baada ya kupokea maoni na ushauri wenu wanajamvi;hasa ukizingatia wengi wenu mlishauri asirudiane naye,nami nilimshauri hivyohivyo.
Chakushangaza jamaa aliendelea...
Duh!Kah!!! Ila haya yamezidi ukubwa jamani!!!!Sikuwa na maana maziwa makuuuuubwa namna hiyo!!!Sema nimekosa picha ningeitupia!!!!Napenda makubwa wastani,yawe ya mviringo namagumu na si yalolepweta kama ndala!
Wadau naomba kuuliza!Mwanzoni wakati naanza mahusiano ya kimapenzi nilikuwa napenda sana wasichana wenye chuchu ndogo,
but as time went on nikajikuta napenda wenye matiti makubwa Kinachonichanganya zaidi ni pale washikaji zangu wanavyowadis wenye mtindi!
Nini maoni yenu wadau katika hili?
I...
Kwa kweli hata mimi naunga mkono hoja hii!!!manake yalonikuta kwa hao Pimbi!!!we acha tu!!Huo utafiti ni wa kweli!!!Kwa ambao bado mnaishi na hao mapimbi jike fanyeni utafiti tu mtafahamu uhalisia wa hoja hii!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.