Wakati tunaelekea Krismasi, kuna matrafiki wameanza kuwanyanyasa raia isivyo halali. Naongelea mfano wa leo leo. Taarifa iliyonifikia inasema hivi:
"Trafiki kituo cha Msembeta Dodoma wameamua kuvua uniform na kujificha vichakani wakiwa na kamera zao binafsi kuvizia magari kilometa mbili kabla...
Tutofautishe kati ya usahihi wa sera na uzingatiaji wa sera--policy validity vs policy compliance.
Bodi ya TRA walionyesha compliance failure, na adhabu waliyopewa ni halali.
Hata hivyo, hilo halituzuii kujadili iwapo sera husika ni sahihi au vinginevyo.
Wachumi wanaweza kutusaidia katika...
Wakuu, nimeingia website ya NEC ili nichukue takwimu za matokeo ya kura za urais, ubunge na udiwani kwa kila jimbo na kata, lakini hakuna kitu. Kuna kijitabu hiki hapa lakini nacho hakina kitu...
Mwenye data hizo naomba plz...
Tuhuma hizi zijibiwe kwa hoja.
Zinafanana sana na zile zilizo katika kitabu cha Aboud Jumbe (hayati).
Zote zina muundo ufuatao:
Kama uteuzi usingekuwa unaambatana na ubaguzi wa kidini, badi mgawanyo wa nafasi ungekuwa pasu kwa pasu kati ya wakristo na waislam, wanawake na wanaume, vijana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.