Potassium Cianide
Member
- Nov 13, 2016
- 9
- 4
Wakati tunaelekea Krismasi, kuna matrafiki wameanza kuwanyanyasa raia isivyo halali. Naongelea mfano wa leo leo. Taarifa iliyonifikia inasema hivi:
"Trafiki kituo cha Msembeta Dodoma wameamua kuvua uniform na kujificha vichakani wakiwa na kamera zao binafsi kuvizia magari kilometa mbili kabla ya kituo cha msembeta shule ya msingi. Wanatoza faini ya TZS 30,000 kwa kila mtu anayeonekana kuzidisha mwendokasi. Hakuna alama yoyote ya barabarani kuhusu speed limit. Baada ya kubanwa na madereva werevu, wakajibu kwamba wanatumia sheria ya makazi kutoza faini. Wanasema kibao kinapaswa kuwepo sema tu TANROADS wamechelewa kukiweka. Maderevea wanaokomaa wanaachiwa, wanaolegea wanakamuliwa. Njiani ni kero tupu."
Mh Mwigulu na wenzako fuatilieni ujambazi huu...
"Trafiki kituo cha Msembeta Dodoma wameamua kuvua uniform na kujificha vichakani wakiwa na kamera zao binafsi kuvizia magari kilometa mbili kabla ya kituo cha msembeta shule ya msingi. Wanatoza faini ya TZS 30,000 kwa kila mtu anayeonekana kuzidisha mwendokasi. Hakuna alama yoyote ya barabarani kuhusu speed limit. Baada ya kubanwa na madereva werevu, wakajibu kwamba wanatumia sheria ya makazi kutoza faini. Wanasema kibao kinapaswa kuwepo sema tu TANROADS wamechelewa kukiweka. Maderevea wanaokomaa wanaachiwa, wanaolegea wanakamuliwa. Njiani ni kero tupu."
Mh Mwigulu na wenzako fuatilieni ujambazi huu...