Recent content by POST BELLE

  1. P

    Hizi ndizo rekodi anazojivunia Zitto Kabwe, hakuna Mbunge yeyote aliwahi kuzivunja

    Kupaki Gari Maporini na kuvuta Bangi ili watu wasimuone, source Dereva wake.
  2. P

    Taasisi ya Kiislamu ya Imamu Bukhary: Lowassa hafanani na Mtume Muhammad, Madabida awajibishwe

    Sawa tu huwezi kujifananisha na Nabii ukabaki salama
  3. P

    Steven Wassira arudisha fomu za Urais

    Bado tunafuatilia tuone washindani ni wangapi.
  4. P

    Udhamini CCM: Stephen Wassira apata mapokezi ya kishindo

    Wasira Wa Watanzania, wenye wivu wajinyonge
  5. P

    Pius Masusuri atua rasmi kumvaa Wassira Bunda

    Pius yule Tapeli? Haaa haaa hata kama Bunda wamekosa mtu bora wakae wapweke.
  6. P

    Kati ya watangaza nia wote, yupi umeona anafaa?

    Mpaka sasa hakuna Hotuba nzuri yenye mashiko kama ya Stephen Wasira
  7. P

    Kutoka ukumbi wa BoT Mwanza: Wassira atangaza nia kugombea Urais

    kukomesha Rushwa kwenye utumishi wa Umma, Kuimarisha kilimo kwa kuweka jembe la mkono makumbusho, kukuza viwanda na kuboresha uchumi jumla.
  8. P

    Stephen Wassira kutangaza nia Mwanza Jumapili hii 31/05/2015

    Stephen Wasira atalitendea haki jukwaa na Virusha sauti vya vyombo vya Habari Jumapili hii jijini Mwanza. Stephen Wasira atatangaza nia yake akiwa Live na vyombo kadhaa vya habari vya Tanzania, kuanzia saa Tano asubuhi mpaka saa saba mchana. Wasira anasubiliwa kwa hamu Mwanza ili aonyeshe...
  9. P

    Yaliyojiri Bunge la Bajeti 2015/16 Dodoma Mei 12, 2015

    "Tanzania haindelei kwasababu ya Matabaka,Hii inasababishwa na Rushwa iliyokithiri, Sasa wanaokula na kupokea Rushwa Wachunguzwe, Wakamatwe,Washitakiwe,Wahukumiwe, Wafungwe,Wafilisiwe, ikiwezekana Wanyongwe" Nyambari Nyangwine (Mb) Tarime, Michango Malidhawa 12/05/2015 Bungeni Dodoma.
  10. P

    Nimrod Mkono, bado huna mpango wa kuachia Ubunge?

    Kama unahisi una nguvu ya kumtoa nenda kajipime
  11. P

    Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

    Siwapendi watu wa namna yako, maana mnanufaika na Rushwa wakati wengi wanaumia. Tunawasubilia Majukwaani tuwaponde mawe. Lowasa na wenzake wamekithiri kwa Rushwa.
  12. P

    Mkakati wa Team Lowassa huu hapa

    Tabia ya Rushwa Tanzania inakomazwa na CCM kwa 100%. Kuna kuna mwanachama wenu anahusishwa na matendo ya Rushwa kwanini msichukulie hatua. Yaani anagawa Milioni Tano na bado mnashangilia. Mtapata shida nchi hii kama hawa ndio waongoza Nchi. Ipo siku kuna Mapinduzi yatafanyika Rushwa...
  13. P

    Wassira: Warioba alinikimbiza CCM mwaka 1995

    Kwasasa jina la Wasira liko juu sana, anakubalika sana Ndani ya Chama chake. Kama hesabu zikipigwa vizuri mwezi Oktoba huyu Mzee anaweza kuwa Rais. Kasi yake sio ya kubezwa hata kidogo. Nimependa Mtiririko wa simulizi yako kwenye Uzi huu.
Back
Top Bottom