Recent content by POSHO MAVYEO

  1. POSHO MAVYEO

    Simu ya Hawa Ghasia yatumia Sh. 25 milioni

    Ukiitumia nje ya nchi hakuna postpaid hapo unapata Bill as you go, uliangalia ili suala Kwa ufinyu
  2. POSHO MAVYEO

    Serikali yakatia ushuru ambulance za msaada alizotoa Mbowe kwa watu jimbo la Hai

    Kwa ili Mbowe amejidhalilisha Na kuonekana sio kiongozi makini Na anafanya mambo Kwa mabavu bila mikakati, Kama Lengo ilikuwa ni kuzipa hizo hospitals hayo Magari toka mwanzo basi mwagizaji Wa Magari Alitakiwa awe hizo hospitali tajwa, mtu binafsi uwe ingiza Gari kama alivyotaka Mbowe Kwanza...
  3. POSHO MAVYEO

    Simu ya Hawa Ghasia yatumia Sh. 25 milioni

    Huko nje ya nchi hotel nyingi zina free wifi ( kama ni nje ya Africa ) hiyo ni guarantee sasa akianza kushinda Kwenye phone call Za shopping I shida Dawa ya matumizi mabaya haya ni vyema kukawa Na fixed allowance Kwenye handset ofisini si wana landline bana, halafu waziri anakuwaje Na namba...
  4. POSHO MAVYEO

    Simu ya Hawa Ghasia yatumia Sh. 25 milioni

    Serikali ya ovyo sana hii, yaani Na kuongezeka Kwa matumizi ya data/internet bado kuna ghalama Za ajabu hizo? Kwa Bill hizo ina maana wanahinda Kwenye Simu ? Ndio maana Wizi kila kukicha mawaziri Na Viongozi walitakiwa kutumia email kuliko mawasiliano mengine yoyote ili kuhacha permanent...
  5. POSHO MAVYEO

    "Miss Jokate Kidoti" anafanya au anajaribu?

    You are something else .... Hakuna atakuweza wewe !!!!, I wish I could accuse of something but I let it go ,
  6. POSHO MAVYEO

    Apartment for rent (Mchikichini Project NHC) Ilala

    Hiyo ni nyumba inapatikana Kwa owner mimi nimeongea naye, bei Za nyumba Dar ziko juu, kwanza ungeanza Na swali je kumiki apartment kama hiyo maeneo hayo inaghalamu kiasi gani? Kwa hela ninayopangishia it will take 25yrs kurudisha investment Kwenye hiyo property sasa hapo hakuna FAIRNESS kivipi...
  7. POSHO MAVYEO

    Apartment for rent (Mchikichini Project NHC) Ilala

    Obvious hizi sio apartment Kwa watu wanaoishi mabonde kuinama, katika maisha tunatofautiana kuna wengine hayo maisha hawayawezi let them be, hao ndio walengwa sio kwamba kila mtu anaweza kuisha humo, hata Mwisho Wa Mwezi watu tunatofautiana vipato, hapa Dar kuna chumba Cha Tsh 4,000 Kwa Mwezi...
  8. POSHO MAVYEO

    Apartment for rent (Mchikichini Project NHC) Ilala

    Sio kwamba tuna hela, mimi nikipata hapo Gari sitaki tena Kwenda kazini, Kwa misingi hiyo Tsh 400,000 ya mafuta Kwa Mwezi nimeokoa, bado mke wangu, kujenga mjini sina uwezo si bora nipandishe huko pembeni ya mji nihamie mjini, Na ndio maana nampa offer ya 900,000 maana nikipangisha nyumba yangu...
  9. POSHO MAVYEO

    Apartment for rent (Mchikichini Project NHC) Ilala

    Mkuu Kwa Tsh 900,000 Kwa Mwezi tumalize biashara, maana natafuta apartment Karibu na mjini mwanangu amenisahu maana natoka majogoo narudi usiku amelala, niko serious Mkuu
  10. POSHO MAVYEO

    Apartment for rent (Mchikichini Project NHC) Ilala

    VIKWAZO Kuna punguzo lolote? nimevutiwa na appartment na nina mgeni atakaa miezi 8? naomba offer yako ya mwisho
  11. POSHO MAVYEO

    Wajibika ili watuhumiwa wa Escrow wawajibike

    Movie ZA bongo flack zimeanza bungeni
  12. POSHO MAVYEO

    Wajibika ili watuhumiwa wa Escrow wawajibike

    Waliotajwa wote tukomae wafilisiwe kujiudhuru imetokea mara nyingi sana na hawabadiliki
  13. POSHO MAVYEO

    Wajibika ili watuhumiwa wa Escrow wawajibike

    Safi SANA maana hawa wahuni wanatudharau sana wananchi, tunakaa kimya KWA Kila ovu wanalofanya, ngoja nikatie saini NA kusambaza link kwa watu wangu
  14. POSHO MAVYEO

    Fununu: Lema kuirithi mikoba ya Mbowe!

    Mkuu hizi tuhuma naziona mara kwa mara hapa ndani?!!!! ukweli ni upi? wewe ni mtoto wa nani? kwa nini sifafanue maana naona kama una conceive hizo tuhuma kwamba wewe sio mtoto wa nyerere ila unajifanya mtoto wa Nyerere ebu tusaidie imekuwaje hapo
  15. POSHO MAVYEO

    Live updates: Mkutano wa Mh. Tibaijuka na wakazi wa Kurasini Matankini

    Umeandika pumba, rasilimali sahihi hapo ni BANDARI na sio makazi,
Back
Top Bottom