V
ip
UOTE="catecholamine, post: 17762931, member: 376510"]Umechaguliwa kozi gani mkuu ??
We
Kwenye guide book inaonyesha loan ni 3.1 mil so its true unatakiwa kuongeza 700,000
Naomba mwenye ufahamu na hiki chuo, mazingira, gharama za maisha,hostel na hadhi ya elimu inayotolewa kwa sasa anijuze...pia kama ukiwa na picha ya mazingira yake mnaweza kuweka...
mfano kama ikitokea walioweka first choice wote wana two na wale walioweka 2nd na 3rd choise wana ONE na first choice zao zimegoma je wale wenye two wataachwa wabebwe wale wenye one au?
samahani kwa maswali mengi kaka....vipi kuhusu course ya physiotherapy kuna ndugu yangu kaomba hapo KCMC na kwenye gb wameandika capacity ni watu 30 na competition ilokuwepo ni watu 55 vipi idadi ya wanafunzi kwa course hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.