Recent content by Poppy Hatonn

  1. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Mikocheni Hakuna umeme. Giza tororo

    Wamefuta,of course. Who wants to get killed?
  2. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Mikocheni Hakuna umeme. Giza tororo

    Jana nimeota njagu watu wametamka kunukamata. Ndiyo nimeota, njagu ( askari mgambo) wanataka kunukamata halafu wakaniacha. Wanaambizana: "Yule mtoto wa Nyerere." "Yule mtoto wa Mkapa." Ndio jambo ambalo halinipendezi. Kwa sababu mtu kama mimi sipaswi kusumvuliwa na njagu, especially kama...
  3. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Mikocheni Hakuna umeme. Giza tororo

    Ah, umeme umerudi.
  4. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Mikocheni Hakuna umeme. Giza tororo

    Zingiziwa,uko Chanika wewe Nimefika kule.
  5. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Mikocheni Hakuna umeme. Giza tororo

    Je huko sehemu zingine za Dar vipi? Umeme wa Tanesco upo? Nauliza kwa sababu isije ikawa Ile post niliyoandika sasa hivi kuhusu yule jamaa inaleta balaa
  6. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Natamani ningekuwa na uwezo wa kumuombea dua mtu anipe hela ya chai

    Halafu na mimi ningeweza kuishi vizuri . Alikuwepo yule Kiboko ya Wachawi ambaye ukitaka tu kufanya appointment naye ilikuwa lazima umpe sh laki chache.
  7. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Waziri na Naibu waziri wamesahaulika kwenye msiba?

    Ah,yes. Pole Wanu
  8. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Paulo Chacha ana akili timamu?

    Kwa kweli siyo sahihi. Kama yeye hana interest angempeleka mtoto kwa jamaa mwingine.
  9. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Daktari aliyempiga Polisi usalama barabarani hajulikani alipo

    Yule daktari bingwa, yule surgeon,Elibariki,sijui anaitwa nani,si alisema ameongea naye kituo cha Oyster Bay?
  10. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Licha ya kuambiwa itakuja El Nino bado wanaharakati wanataka kuharibu tena miundombinu October 29

    Dini ya Shetani maana yake kama mnakimbia cross country,Kwa mfano, unataka ukimbie umpite yule ambaye yuko mbele yako.. Ukitaka kumpita yule ( kwa maoni ya mtu wa Dini ya Shetani) hakuna kosa,hakuna dhambi,in fact ni thawabu kubwa sana. You are ambitious and you want to win. Kwa mantiki hiyo...
  11. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Licha ya kuambiwa itakuja El Nino bado wanaharakati wanataka kuharibu tena miundombinu October 29

    Unapenda amani, unasema. Unapenda amani kama watu wengine. Ila tu unataka kujua huu ukatili wote unasababishwa na nini na unatoka wapi? Unasababishwa na Shetani. Ndio dini ya Shetani. Waumini wa Dini ya Shetani wanaamini ni dini halali ( ya Mwenyezi Mungu)na kuipuuzia ndio chanzo cha kukosekana...
  12. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Licha ya kuambiwa itakuja El Nino bado wanaharakati wanataka kuharibu tena miundombinu October 29

    Tunataka amani sasa hivi Tunapozidi kuchelewa kupata watu wanaendelea kutekwa,wanabanduliwa kucha,wang'olewa meno. Viongozi wanagombana,Samia anagombana na Nchimbi, Nchimbi anagombana na Samia. Wananchi wananchi wanapiga haya mambo. Hata wakubwa wanagombana. So maybe kugombana ni " human...
  13. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Licha ya kuambiwa itakuja El Nino bado wanaharakati wanataka kuharibu tena miundombinu October 29

    Tatizo la Warioba anayesema Serikali Tatu ni kwamba wanachoongea in private siyo mambo wanayoongea in public.
Back
Top Bottom