Jana nimeota njagu watu wametamka kunukamata.
Ndiyo nimeota, njagu ( askari mgambo) wanataka kunukamata halafu wakaniacha.
Wanaambizana: "Yule mtoto wa Nyerere." "Yule mtoto wa Mkapa."
Ndio jambo ambalo halinipendezi.
Kwa sababu mtu kama mimi sipaswi kusumvuliwa na njagu, especially kama...
Je huko sehemu zingine za Dar vipi?
Umeme wa Tanesco upo?
Nauliza kwa sababu isije ikawa Ile post niliyoandika sasa hivi kuhusu yule jamaa inaleta balaa
Halafu na mimi ningeweza kuishi vizuri .
Alikuwepo yule Kiboko ya Wachawi ambaye ukitaka tu kufanya appointment naye ilikuwa lazima umpe sh laki chache.
Dini ya Shetani maana yake kama mnakimbia cross country,Kwa mfano, unataka ukimbie umpite yule ambaye yuko mbele yako..
Ukitaka kumpita yule ( kwa maoni ya mtu wa Dini ya Shetani) hakuna kosa,hakuna dhambi,in fact ni thawabu kubwa sana. You are ambitious and you want to win.
Kwa mantiki hiyo...
Unapenda amani, unasema. Unapenda amani kama watu wengine. Ila tu unataka kujua huu ukatili wote unasababishwa na nini na unatoka wapi?
Unasababishwa na Shetani.
Ndio dini ya Shetani.
Waumini wa Dini ya Shetani wanaamini ni dini halali ( ya Mwenyezi Mungu)na kuipuuzia ndio chanzo cha kukosekana...
Tunataka amani sasa hivi
Tunapozidi kuchelewa kupata watu wanaendelea kutekwa,wanabanduliwa kucha,wang'olewa meno.
Viongozi wanagombana,Samia anagombana na Nchimbi, Nchimbi anagombana na Samia. Wananchi wananchi wanapiga haya mambo. Hata wakubwa wanagombana. So maybe kugombana ni " human...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.