Recent content by Poppy Hatonn

  1. Poppy Hatonn

    Nini kinaendelea? Internet ni shida na Askari wapo kila kona

    Tunasikia Samia yuko hospitali mahututi,au yupo mahututi kwa mganga wa kienyeji. Kesho yake tunamuona kwenye mkutano. Kesho kutwa yake tunasikia yuko mahututi. She cannot decide whether she want to be sick or well.
  2. Poppy Hatonn

    Kihongosi awakaribisha Lissu na Heche wajitokeze kujadili maridhiano.

    Kwanza,ni kweli Kihongosi amesema hivyo? Kwa sababu hawa ²wana habari wa Kenya hawaeleweki wanayozungumza. Halafu Lissu anaweza vipi kujitokeza kama bado yupo jela?. Halafu Jumuiya ya Commonwealth unataka uchunguzi,( ambayo tayari unafanyika), lakini na wao wanataka kufanya uchunguzi wao,pia...
  3. Poppy Hatonn

    PostGE2025 Balozi wa Tanzani UN-DR. Abdallah Possi azimiwa mic na hotuba yake nzito yenye maelezo ya kweli na ya kina kuhusu uchaguzi wa Tanzania2025 yakatishwa

    Alizimiwa mic? Ile spichi yake mimi nilisikiliza sentensi ya kwanza tu. " Wanatulaumu tumefanya ukatili,hawajui walikuwepo habithi wanataka kuuvuruga Uchaguzi"
  4. Poppy Hatonn

    Rais Samia kuingia Kigamboni wiki ijayo ya Tarehe 3 na kuzungumza na taifa. Asubiriwa kwa hamu na kiu kubwa sana

    Kigamboni ni wapi? Technically, Kigamboni ni pale mahali mara tu unapovuka Ferry.
  5. Poppy Hatonn

    Meli iliyokamatwa na El Salvador ilikuwa ni meli ya CJNG

    Majambazi wa madawa ya kulevya hawagombani na monks( kama mimi). Ni kwa ajili ya monks kama sisi ndio wanaweza kufanya mambo kama haya. Maduro aliyekamatwa juzi alikuwa mfuasi wa Sathya Sai Baba. Lakini you can be sure Gen Z wataipata, because of what it means. Kwa sababu kama Rais Samia...
  6. Poppy Hatonn

    Meli iliyokamatwa na El Salvador ilikuwa ni meli ya CJNG

    Gerson Msigwa amesahau kusema. CJNG, maybe the biggest drug cartel in Mexico, cartel ya El Mencho aliyeuawa juzi,ndio Ile meli iliyokuwa yao . El Salvador inafanya haya mambo kwa kupewa Intelligence reports na Marekani. In brief, kama ndio kina Abdul, wapo ligi daraja la kwanza katika haya...
  7. Poppy Hatonn

    Je, Wanajeshi wa Tanzania Wanakufa kama Nzi huko Congo? Mbona Wananchi hatujulishwi

    Nakumbuka nilisoma kitabu cha psychiatry siku. Siyo buku la Doctrine isipokuwa popular books on psychiatry. Alikuwa anaelezea kuhusu schizophrenia. Anasema schizophrenic unaweza kumsikiliza anaongea kwa nusu saa usijue anaongea kuhusu nini. Likewise,vita ya Zaire unaweza kuifuatlia kwenye...
  8. Poppy Hatonn

    Tetesi: Faustine Mafwele yamkuta mazito, Augustino Polepole amtaka ajitokeze hadharani

    https://youtu.be/lOGC2vou_kA?si=78MJv4G_xuqe_K9d Labda uongo. But this girl is very insistent.
  9. Poppy Hatonn

    Picha: Samia na Makonda wametoka mbali! Una maoni gani?

    Samia nadhani ni mke wa pili wa yule jamaa,First Gentleman. Nakumbuka Kabudi alifukuzwa kazi kwa kusema,"Ndio leo nimesikia kuhusu 'Fist Gentleman '" Sasa labda yule jamaa hamtoshelezi. Sasa sijui nitafunguliwa kesi ya uhaini?
  10. Poppy Hatonn

    PostGE2025 Taasisi ya Kimataifa - Index On Censorship (IoC) yatoa majina 10 ya wanaowania Tuzo ya Dikteta wa mwaka (Tyrant of Year 2025)

    Siku ya kesho ndiyo itaamua kama Samia ataibuka mshindi. Pia kama mwanamke hajawahi kupata ushindi,Samia anaweza kupendelewa.
  11. Poppy Hatonn

    Kesho vijana wanasema wataandamana, Mayalla yuko wapi?

    Matatizo ya vijana ni illusion,ndoto za Alinacha,kwamba wao watakwenda Ikulu kufanya fujo, halafu Samia atatoroka na helicopter. Polisi kazi yao ni kuziondoa hizi illusion za wahalifu wa kila aina.
  12. Poppy Hatonn

    Kesho vijana wanasema wataandamana, Mayalla yuko wapi?

    Haya maandamano,mambo haya ni hatari sana. Watanzania wanataka amani. Vijana wanataka kuchoma moto nchi. Tufanye nini? Tuwaombe vijana. Mambo wanayowaza siyo sawa. Wanaondoa umoja wa kitaifa kwa kusema kwamba wanataka kuandamana. Acha Serikali iseme kwamba atakayeandama atakiona cha mtema...
  13. Poppy Hatonn

    Quran ya Allah ni kitabu kisichokuwa na shaka

    Nataka nifungue Quraan at random ninukuu aya moja,yoyote: Sad 11.Askari hawa wanaokanusha ni askari wenye kushindwa,kama walivyoshindwa wengineo miongoni mwa wapote ya watu waliokuwa kabla yao. By the way,mtu akihitaji Quraan,kama yupo karibu hapa,apige hodi nyumbani kwangu,nitampa Quraan,bure.
  14. Poppy Hatonn

    Mwandishi Manyerere atishiwa maisha kwa sababu ya mahojiano na Jaji Warioba

    Manyerere alisoma shule gani sijui kule Temeke. Hakusoma Tambaza.
Back
Top Bottom