Kweli wewe ni funza,Devis hata angefanya nini asingeshinda moshi mjini!! Alijidanganya ana pesa tukamwambia aje tuu lakini ataondoka kapa!! Hajaibiwa kura hata moja!!hata hizo alizopata wengine tunajiuliza alipataje maana watu wa moshi mjini wapo makini!! Na kama ni rafiki yako mshauri aache...
Kuna watu walitaka waambiwe wanapewa milioni hamsini kila kikundi cha vikoba!!!
Matatizo ya WANAWAKE yatamalizwa na WANAWAKE wenyewe!! Lowasa yupo sahihi kabisa, mtafutieni kura halafu mtakuja kukaa chini na kutoa mapendekezo yao nini kifanyike kutatua changamoto hizo!!!
Devis kazaliwa na kukulia kiborolini,ila kupata ubunge moshi mjini labda kwenye ndoto!! Mtu gani hajui hata sheria za eneo husika!! Kura za maoni tuu katuchafulia mji na vipeperushi!! Devis tukutane Oct 25
Unaposema mkeo hapendi wageni unatumia kigezo hicho cha kukataa mjamzito? Au huwa unakataa na wengine?? Usimlazimishie majukumu yasiyomuhusu!! Kama unataka kumridhisha mshikaji wako pangishia hao wageni gest karibu na Hosp!! Ila ujue jukumu unalotaka kujibebesha ni kubwa sana!! Kwenye kujifungua...
Nesi kupiga mama kibao hairuhusiwi kabisa, ila kuna wakati inabidi kuchapa kibao na kukoromea sana, haiongezi uchungu ila inaongeza usikivu na mtulivu kwa mama mwenye maumivu mpaka anakua kama kachanganyikiwa! Mfano unakuta njia imefunguka vizuri, Mtoto ameshuka vizuri na tayari sehemu ya kichwa...
Huwa wanakua na hizo hali za kutaka au kukataa kitu flani, ila hawana jinsi ya kuelezea! Waliowapa ujauzito wamepepea! Asumbue matron au mwajiri wake hajipendi?
mara nyingi ni mabadiliko ya mwili! Na mama anateseka kweli!haaa mimba ikiwa ndogo! Wengine ikifika miezi minne na kuendelea anaweza kuvumilia ila wengine hawawezi!
Jitahidi kupeleka anachopenda as long una uwezo nacho!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.