Mkuu,nisaidie jambo,unaijua sana allex TA NZE-124?,4WD yake ni automatic ama?,maana ndo mpya na nimeiona ni 4wd ila sijaona button ya kuiingiza. 4wheel,na je ni kweli 4 wheel inabugia mafuta sana?
Miaka 5 mpaka 10 block zinaanza kupukutika,zina expire hizo,kama uko serious nambie nikutonye ziliko tofari za mawe ambazo haziliki na magadi wala chumvi milele na hauhitaji hata plaster
Wamarekani wana kikosi maalumu cha kupambana na shambulizi na nyuklia na wameanza mazoezi,naamini wanacho kitu hatujui kuhusu siraha hizo,tutajua siku shambulizi litatokea baada ya kuona watachofanya,
Tusubiri,zipo siraha za kujilinda na kushindia nyingi sirini hatuzijui na hazijtambuliswa,hizi...
Ulimskia vibaya,rudia kumskia tena umegeuza alichosema,
Kimsingi wazee wa zamani walikuwa na matiki siyo elimu,sasa tuna elimu hatuna mantiki,
NB tazama matendo yao na yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.