Recent content by Ponjolo

  1. Ponjolo

    Mwenye uelewa wa maneno haya ya kiuchumi anisaidie

    I see Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Ponjolo

    Mwenye uelewa wa maneno haya ya kiuchumi anisaidie

    Let's say you are 100% right.. Happy now? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Ponjolo

    Mwenye uelewa wa maneno haya ya kiuchumi anisaidie

    Agreed! Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Ponjolo

    Mwenye uelewa wa maneno haya ya kiuchumi anisaidie

    Liquidity ni kipimo cha uhitaji wa bidhaa kwenye soko Asset ni mali isiyohamishika kama vile nyumba, kiwanja n.k Liability ni mali ambayo unamiliki kwa mkataba, mkopo n.k kimsingi hii huwa inakugharimu.. Equity ni mgawo wa umiliki katika biashara au uwekezaji kulingana na pesa alichangia mtu...
  5. Ponjolo

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Ahsante sana ubarikiwe Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Ponjolo

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Shukrani sana teacher.. Nina swali maswali mengine..that I will really appriciate you enlighten me.. 1. Je kuna tofaut gani kati ya aliexpress na alibaba.com in terms of shipping options to their customers..? 2. Na kama nataka kununua bidhaa in bulk for business purposes should I go for alibaba...
  7. Ponjolo

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Kuanzia mzigo wa ukubwa ndo unatuma na Bei ya kusafirisha ikoje? Vipi kuhusu TRA Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Ponjolo

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Aisee umefikia wapi mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Ponjolo

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Sasa mwalimu kama hapa nchini bei ni mara 3 wao wanazipataje..? Je wanauza kwa hasara? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Ponjolo

    Tuchangamkie fursa Zimbabwe

    Vipi kuhusu kodi..unaweza kukuta sababu ya viwanda vya ndani kupandisha bei ni kwasababu hiyo...Na Je,sera ya nchi hiyo inaruhusu kuimport food products.? Unaweza ukaakisi hiyo situation na hapa nyumbani kipindi cha mfumuko wa bei ya sukari.. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Ponjolo

    Napenda waujue ukweli ila naogopa kuigawa Familia

    Daah mkuu you are a super nice guy..!!! Una psychological condition called Mr.nice guy syndrome. Ili kuishi kwa furaha STOP kuplease watu wengine STOP kujali amani ya watu wengine wakati ndani yako hakuna amani( make your needs the first priority)..Na kwa jinsi nilivyosoma thread yako...
  12. Ponjolo

    Wapi wanafundisha Kifansa na Spanish Arusha Mjini

    How about taking online courses..because You can hardly find a place for those languages not only in Arusha but also anywhere else in Tanzania.. In the internet you can find abundance of free content and premium as well if you want... All the best!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Ponjolo

    ONLINE ENGLISH COURSE.

    Mbona kama mwalimu unakosea [emoji848][emoji848] And by the way who is your target here?? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Ponjolo

    Ni ngumu mwanamke kufanya ngono na rafiki yake wa kiume

    Ogopa sana friendzone Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Ponjolo

    Wanawake wana madini gani jamani?

    Brah only wanaume ambayo hawajiamiani ndo wanakuwa hivyo na kuwa desperate kutry hard kuwa impress hao wanawake.. But sadly it turns them off..instead.. Real men are always calm, confident and relaxed in every situation.. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom