Salam wana jukwaa,
Una hii kero nimeipata siku nyingi ila sikuwa na msukumo wa kuileta humu mpaka ilipokutana na mtu wangu wa karibu, haya magari ya ndugu zetu wa tanesco yale ya emergency huwa hawajui ni muda gani waendeshe kana kwamba kuna dharula.
Hii inapelekea gari lile kuendeshwa...
Ile ni wilaya nyingine na lile ni jimbo jingine, it takes a crazy person kutoka mjini aje mpaka banana kitunda mwanagati wakati kuna njia ya kupita buza ambapo ni karibu zaidi...ndiyo hawa wanakuja kuleta lawama za barabara bila kujali wako jimbo gani wilaya gani....smh
Kama mmevamia industrial area maana yake hamna uhalali wa kulalamika pia hamjui wa kumlalamikia mnaenda kumsumbua mbunge ambaye Ana majukukumu tofauti kabisa..
Labda kwa haraka haraka nikusaidie maeneo ya uvamizi, yenye kesi au hukumu imeshatoka tayari ukitoka pugu sekondari baada ya kupita reli mkononwa kushoto kama unaelekea viwege yale maeneo yana mgogoro kitamboo na hukumu ishatoka tayari ikifika njia nne mbondole kama unaelekea ofisi za serikali...
Matusi ya nini? Nyumba za pspf buyuni zinahusiana nini na hii post naomba TP namba ya project ya buyuni ambayo nadhani ni ya mwaka 2005 nikuonyeshe jinsi wavamizi mlivyo haribu mipango miji, kama huna nikusaidie ambapo kwa kifupi tu ni ile kesi ya hekari elfu tatu kati ya mwalimu Mbambo na wazee...
Ubovu wa barabara wakulamiwa ni madiwani katika halmashauti yako mzee mbunge hahusiki familiarise yourself with position descriptions za hawa watu kwanza
Njoo na hoja chief, ubovu wa barabara za mtaa ni suala la halmashauri la sehemu husika bora hata mara Mia lawama zingeelekezwa kwa diwani maana yeye huwa anapata fungu la maendeleo sasa mbunge kweli yaani unazungumzia mbunge...Jerry kama Jerry akili nyingi mtateseka sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.