Recent content by pombe kali

  1. pombe kali

    Magari ya TANESCO yanasababisha ajali na kukimbia

    Umetoa maelekezo imeisha subiri utekekezaji ✌
  2. pombe kali

    Magari ya TANESCO yanasababisha ajali na kukimbia

    Salam wana jukwaa, Una hii kero nimeipata siku nyingi ila sikuwa na msukumo wa kuileta humu mpaka ilipokutana na mtu wangu wa karibu, haya magari ya ndugu zetu wa tanesco yale ya emergency huwa hawajui ni muda gani waendeshe kana kwamba kuna dharula. Hii inapelekea gari lile kuendeshwa...
  3. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Ile ni wilaya nyingine na lile ni jimbo jingine, it takes a crazy person kutoka mjini aje mpaka banana kitunda mwanagati wakati kuna njia ya kupita buza ambapo ni karibu zaidi...ndiyo hawa wanakuja kuleta lawama za barabara bila kujali wako jimbo gani wilaya gani....smh
  4. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Wanaitwa law makers, it is high level of illiteracy to blame a law maker in such a mess
  5. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Kule ni temeke Jerry tena kutokea mjini ni karibu kupitia buza unakuja huku ukonga kutafuta nini?
  6. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Jerry ni kama maji usipoyaoga utayanywa usipoyanywa utanawa huna namna aisee we jipendekeze tu usaidiwe
  7. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Hawa wa mwanagati kiramani wanatakiwa wapite buza lile ni jimbo tofauti sasa
  8. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Come clear chief tuache ushabiki tuache mihemko wajibu wa mbunge ni nini?
  9. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Unamfahamu mkuu wako wa wilaya?
  10. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Kama mmevamia industrial area maana yake hamna uhalali wa kulalamika pia hamjui wa kumlalamikia mnaenda kumsumbua mbunge ambaye Ana majukukumu tofauti kabisa..
  11. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Labda kwa haraka haraka nikusaidie maeneo ya uvamizi, yenye kesi au hukumu imeshatoka tayari ukitoka pugu sekondari baada ya kupita reli mkononwa kushoto kama unaelekea viwege yale maeneo yana mgogoro kitamboo na hukumu ishatoka tayari ikifika njia nne mbondole kama unaelekea ofisi za serikali...
  12. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Matusi ya nini? Nyumba za pspf buyuni zinahusiana nini na hii post naomba TP namba ya project ya buyuni ambayo nadhani ni ya mwaka 2005 nikuonyeshe jinsi wavamizi mlivyo haribu mipango miji, kama huna nikusaidie ambapo kwa kifupi tu ni ile kesi ya hekari elfu tatu kati ya mwalimu Mbambo na wazee...
  13. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Unalijua daraja la ulongoni wewe? Unajua ni kiasi gani imetumika kujenga lile daraja
  14. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Ubovu wa barabara wakulamiwa ni madiwani katika halmashauti yako mzee mbunge hahusiki familiarise yourself with position descriptions za hawa watu kwanza
  15. pombe kali

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Njoo na hoja chief, ubovu wa barabara za mtaa ni suala la halmashauri la sehemu husika bora hata mara Mia lawama zingeelekezwa kwa diwani maana yeye huwa anapata fungu la maendeleo sasa mbunge kweli yaani unazungumzia mbunge...Jerry kama Jerry akili nyingi mtateseka sana
Back
Top Bottom