Recent content by pombe kali

  1. pombe kali

    Kuomba Bank statement ina cost fedha?

    Uko sahihi mkuu nikifuata ile principal yangu ya "don't argue with fools"
  2. pombe kali

    Kuomba Bank statement ina cost fedha?

    Soma uelewe ....bank statement unaweza ku download mwenyewe kwenye online banking ila kama utahitaji muhuri ili upeleke sehemu labda ukaombe visa au mkopo kwenye taasisi nyingine ya kifedha itabidi uende bank waka kupe print out yenye muhuri ambayo utalipia....
  3. pombe kali

    Kuomba Bank statement ina cost fedha?

    bank statement ni bure kama unataka kuangalia miamala yako ambapo pia unaweza kuprint mwenyewe kwa kutumia internet banking lakini kama unataka bank statement kwa ajili ya kupeleka sehemu inabidi igongwe muhuri na hapo ndipo utalipia mara nyingi ni elfu ishirini
  4. pombe kali

    Kelele zimepungua redioni. Elimu haitaki kelele

    CC Moderator Maxence Melo
  5. pombe kali

    Kelele zimepungua redioni. Elimu haitaki kelele

    tafuta hela dada, achana na kitenge humkuti humuwezi kwa lolote...
  6. pombe kali

    Back benchers tusiopokea namba mpya tukitane hapa

    Mimi ni miongoni wa wale wasiopokea namba ngeni tena kwenye simu yangu nime reject strange calls kama na wewe ni muumini wa hii slogan tupeane maujuzi maana sababu nyingi huwa ni madeni au kutembea na wake za watu sasa kwenye kikao chetu cha wanaume tujadiliane hii changamoto tunaikabili...
  7. pombe kali

    Bega langu la kushoto linauma naomba msaada

    nenda hosipitali ndugu wakiti mwingine siyo dalili nzuri maumivu bega la kushoto huwa inahusishwa na magonjwa ya moyo
  8. pombe kali

    Nyundo na Wenzake Waomba Mahakama Kufuta Kesi na Hukumu Wakidai Ukiukwaji wa Sheria

    Kama lengo ni kuwatoa basi naona kama ni mapema sana ...hasira za wananchi bado hazijaisha huko walipo ni sehemu salama sana kuliko huku uraiani...copy?
  9. pombe kali

    Mahakama yasema Kanisa la Ufufuo na Uzima Tanzania ( The Glory of Christ Tanzania Church) Halijafungwa Wala Kufutwa, hivo Rufaa imetupiliwa mbali

    Kama nimeelewa vizuri mleta maombi "ana kosa locus standi" yaani uhalali wa kisheria kwa sababu kanisa linalodaiwa kufungwa lina jina tofauti na kanisa lililoleta maombi...
  10. pombe kali

    Okoa taifa hiphop movement

    where is the love black eyed peas https://youtu.be/WpYeekQkAdc?si=XcLqCszY3k9rZMjp
  11. pombe kali

    Okoa taifa hiphop movement

    Amani iwe kwenu, Nitakuwa na upload free style na Cyphers zote humu ambazo zitakuwa zinatetea maslahi ya nchi (Taifa) ....na kama una free style ama Cyphers ambayo inaweza kuendana na hali ya sasa ya nchi tafadhali I upload humu zote zitasikilizwa kwa ajaili ya matumizi ambayo yatakuwa na...
  12. pombe kali

    Kwanini konyagi huwa inalazwa?

    Salaam alyekum, wakati sosho media zimejaa taarifa zisizo na tija sijui gwaji boy, sijui gen z binafsi naona ni kama kelele za chura ambazo hazimzuiii kuendelea na kazi huo ulikuwa utangulizi lakini swali langu ni kwanini konyagi huwa inalazwa? …..ukizingia kwenye comment principle yangu ni...
  13. pombe kali

    Kama umeajiriwa Halmashauri (Walimu, manesi) gari zako zisizidi 1500cc

    mia tano mia tano za tuition kila siku kwa wanafunzi 3000
Back
Top Bottom