Recent content by Polycythemia Vera

  1. P

    Pharmacist anatafutwa, awe na cheti kilichosajiliwa na Baraza la Wafamasia

    Mimi labda anipe ya mwaka mzima kwa hiyo 600k.
  2. P

    Figisu Hatimae kufukuzwa kazi

    Ni muda Sasa wa kuweka focus kwenye mambo yako binafsi uliokuwa unafanya kujipatia kipato nje na ajira uliokuwa nayo.
  3. P

    Hivi kuna kadeti zenye ubora kuzidi VICOBSS?

    Nikihitaji kununua nguo original, jitakutafuta.
  4. P

    Hivi kuna kadeti zenye ubora kuzidi VICOBSS?

    Hata kama ni original, ndio toka 2007!!?
  5. P

    Dunia ni ya ajabu sana

    Hayajamkuta bado
  6. P

    Naona Syria inaenda kuwa uwanja wa vita kati ya Iran na Israel; sijui Assad amekubalije nchi yake kila mtu kujikatia kipande chake

    Tupe shule Sasa, unajiita hypershulemia,afu unaishia kukomenti 'kiwake' ,mwaga shule mzee!!
  7. P

    Fahamu madhara/maudhi ya dawa za presha Nifedipine na Amlodipine

    Baada ya ajali ulifika hospitali kwa uchunguzi zaidi?
  8. P

    Fahamu madhara/maudhi ya dawa za presha Captopril na Enalapril

    Captopril na enalapril ni dawa muhimu kwa watu wenye matatizo ya presha na kisukari. Maudhi ya dawa hizi ni pamoja na kikohozi kikavu, ambapo mgonjwa huanza kukohoa kikohozi kisichopona au kutulizwa na dawa za kikohozi. Katika tiba, mgonjwa anapaswa kurudi kwa daktari wake na kuelezea tatizo...
Back
Top Bottom