Huyu ndiye Msiba aliyekuwa mtangazaji wa cloud radio, jamani njaa mbaya Sana ndiyo maana anajikomba ili apewe cheo. Yetu macho ipo siku Msiba kwa sasa umefumba macho uoni, jaribu kukodoa macho Kama utaona vizuri. Kweli hayo maneno yanatoka Moyoni !!!!!!???!!!???
ITV siku hizi siangalii kwani imekuwa Kama TBC. Taarifa ya habari ni Azam Two. Siku hizi kipimajoto,hamna vitu muhimu vya kujadili, wanampa Rais wa bao na polisi mstaafu muda marefu kwa kujadili hoja kwa sababu tu wanasifia serikali.
Hana lolote hata hutuba ni shida. Hana hata hutuba mwisho wa mwezi. Hata kuaga wapiganaji wetu kashindwa. Hii ni hatari. Naami kusoma A-level itakuwezesha kuwa nani baadaye.
Hivi kwa akili ya kawaida mbunge anahacha tu ubunge sababu tu anaunga mkono Rais.Hii utokea tu kama kuna kitu nyuma yake au kuna ukichaa au uwendawazimu. Tena doctor. Watu Kama Hawa hawafai katika jamii tena wanaumeee inauma Sana, haya ni matumizi Mabaya ya fedha ya nchi.
Kwa hiyo sisi wa Azam imekula kwetu Hamna cha bure. Lakini lengo la kuhamia digitali ni kulipia gharama ya king'amuzi. Analojia ni mfumo wa kijamaa, Dijitali ni mfumo wa kibepari yaani Hakuna vya bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.