Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,662
- 26,111
Unamnanga Lowasa?Wamasai mnaaibisha
Unamnanga Lowasa?Wamasai mnaaibisha
Chadema ndio Chama cha kwanza Duniani kutangaza kuwa Viongozi wake wananunuliwa Kama Peremende!
Kamati kuu ya Chadema iliyofanya Uteuzi wa Wagombea Ubunge na Udiwani 2015 ijiuzulu kwa kukosa Umakini na kuteua Watu wanaonunulika!
Facial expression ndo mdudu gani.. kwani kuna mtu kamlazimisha kuachia manoti ya ubunge weweeTizama facial expresion,hana amani.
Kuacha huyu mbunge wa Siha ni mbunge yupi mwingine wa Chadema walishampokea? Mnapoleta habari muwe na uhakika na mnachoandika.Hakuna mbunge wa chadema aliyepokelewa ccm zaidi ya huyu njaa kali wa Siha.Mapokezi ya Aliyekuwa Mbunge wa Siha. Kwa tiketi ya Chadema Dr. Godwin Mollel. Katika tawi lake la karansi wilaya ya SihaView attachment 651710
Hivi kwa akili ya kawaida mbunge anahacha tu ubunge sababu tu anaunga mkono Rais.Hii utokea tu kama kuna kitu nyuma yake au kuna ukichaa au uwendawazimu. Tena doctor. Watu Kama Hawa hawafai katika jamii tena wanaumeee inauma Sana, haya ni matumizi Mabaya ya fedha ya nchi.Kichefuchefu!!
...wamemteka !?Tizama facial expresion,hana amani.
Ni ngumu kijua moyo wa mtu unafikiria nini. Mdio maana nakuona p.umbav. wwChadema ndio Chama cha kwanza Duniani kutangaza kuwa Viongozi wake wananunuliwa Kama Peremende!
Kamati kuu ya Chadema iliyofanya Uteuzi wa Wagombea Ubunge na Udiwani 2015 ijiuzulu kwa kukosa Umakini na kuteua Watu wanaonunulika!
......daah ! Ametekwaa au unaweza hesabu yake kam atapewa au atarushwa !?Tizama facial expresion,hana amani.
Ni ngumu kijua moyo wa mtu unafikiria nini. Mdio maana nakuona p.umbav. ww
Sasa unataka ng'ombe ziishie kwenye minada.Wamasai mnaaibisha
Chadema ndio Chama cha kwanza Duniani kutangaza kuwa Viongozi wake wananunuliwa Kama Peremende!
Kamati kuu ya Chadema iliyofanya Uteuzi wa Wagombea Ubunge na Udiwani 2015 ijiuzulu kwa kukosa Umakini na kuteua Watu wanaonunulika!
Very trueTizama facial expresion,hana amani.