ni hatari sana mkuu nakumbuka tumewahi kufunga 2months kwa sababu ya upungufu wa chakula,huyo Nyalandu nae politcs tu siku moja akasema ntapitisha harambee kwa ajili ya ukarabati wa shule lakini mpaka leo hakuna alichokifanya
ahahahahaaa jay ndio ulikuwa unaita kwa head master kasigi,,nimekumbuka kuchimbua visiki tulipotoroka kwenda kusoma tuition ya chem kwa chief pale ukombozi
dah mkuu kuhusu ukararabati wa lorry bado tulichanga 10000 kila mwanafunzi mwaka jana nikiwa 4m6 lakini hela zimeliwa nimeona ukarabati wa maabara,water system,vyoo na upandaji wa miti tu
Mwenge ilikiwa ya Lutheran nakumbuka walipotaka kuichukua Rais KIKWETE alikataa na kusema shule hizi(Tumain sec,Mwenge) zilishakabidhiwa serikalini,Lutheran walikuwa na mpango wa kukarabati Mwenge iwe University
Juzi nilienda kuchukua vyeti vyangu hapo shuleni nimefurahi sana nimekuta system ya maji imekarabatiwa,maabara nzuri vifaa vya kutosha hii baada ya kipilimba kutimuliwa saiv yupo NDIMBO ,safi saana
nilimuona huyo dada ,mweupe hivi nyodo kibao kwa kodi za wananchi ukicheki pale wamepaki magari ya kifahari kibao ,halafu sijui alikuwa anafanya kazi gani pale maana sikuona cha maana,,Aisee It's unfair mtu katumia nauli kutoka mikoani halafu majibu yao simple simple wale jamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.