Recent content by pol dauda

  1. pol dauda

    Diploma ya Radiotherapy/Radiology kwa Vyuo vya Serikali

    Yaani nimeskia Kuna kozi fupi ya DDR inaanzishwa Benjamin mkapa Sasa hii itakua na utofaut upi na DDR YA 3YRS?
  2. pol dauda

    Diploma ya Radiotherapy/Radiology kwa Vyuo vya Serikali

    Naomba kufahamu utofaut uliopo katika hii kozi kwa wale wanapenda kusoma mwaka mmoja BMH NA WALE WANAOSOMA MIAKA 3 DIP HII IMEKAAJE ?
  3. pol dauda

    Hivi Madaktari hamna njia mbadala ya kupima njia ya uzazi ya mama mjamzito?

    Hahahaaahahha mshenzi saana uyu jmaaaaa et li mkonoo[emoji3]
  4. pol dauda

    Hivi Madaktari hamna njia mbadala ya kupima njia ya uzazi ya mama mjamzito?

    Acha kuingilia fani za watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  5. pol dauda

    Abortion "Mimba kuharibika"

    Spontaneous abortion ni moja Kati ya Aina kuu za abortion ambayo inaamaana ya kwamba ni abortion ambayo imetokea au inatokea yenyewe tuu bila kuhusisisha medical intervention au surgical ,, yaaani hii ni non induced ambayo pia inaweza ikawa na Aina nyingine zileee , complete, incomplete...
  6. pol dauda

    Abortion "Mimba kuharibika"

    Habari, naomba leo tubadilishane mawazo ya kujenga juu ya hii kitu huenda tukapata source of research. Nina swali juu ya KUHARIBIKA kwa MIMBA saaana swali langu limejikita katika Aina moja tuu ya MIMBA KUHARIBIKA ambayo ni "THREATENED ABORTION" Hii kitu naielewa ila kulingana na maelezo yalivyo...
  7. pol dauda

    Kwanini siku hizi wanawake wengi hujifungua kwa njia ya upasuaji?

    Kulingana na swali lako ukweli ni kwamba jibu la moja kwa moja ni kwamba, SIASA IMEINGILIA SAANA SUALA LA AFYA HIVYO BAS KILA MTU HUFANYA KAZI KWA KUJILINDA SAANA NA KUCHUKUA UAMZI HARAKA ,,KWA MFANO KUNA KITU KINAITWA TRIAL OF LABOUR yaani hii unampa Mama muda wa kumtizamia kujifungua kwa njia...
  8. pol dauda

    Kwanini siku hizi wanawake wengi hujifungua kwa njia ya upasuaji?

    Nadhani mtoa mada kapenda kujua sababu zinazopelekea siku hizi OP zimekua nyingi kuliko zamani Ila sio sababu za kawaida zinazojulikana za mtu kufanyiwa OP
  9. pol dauda

    Msaada napata maumivu makali ya shingo na bega

    Kwa maelezo kama haya ya maumivu tuu mkuu hayawez kuoanisha kupata ugonjwa moja kwa moja kwamba uambiwe kwamba ni tatizo fulan , apana kikubwa amka nenda Hospital kafanya vipimo mkuu , Kuna kipind nam ilinitokea nkawaza sana nkafikia atua ya kupima syphilis na HIV aisee ila kuuumbe ilikuaga ni...
  10. pol dauda

    Naomba kujua tiba sahihi kwa mtoto aliezaliwa bila kulia

    Ni kwel KABISA ushaur mzur afu pia wa kutoa ushaur mzur ni pale alipojifungulia maana , ukianza kujifikria kitaalam sababu za mtoto kutokulia ni zip , lazima tujiuloze wakat wa uchungu (labour)ya mama ilikua vip , wenda mtoto alichoka sana (foetal distress), kwa sababu tofaut tofaut au difficult...
  11. pol dauda

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Background beat ya ,movie ya kanumba THE STOLEN WILL. (Tatantalalaaaa ... Tatantaraalaaa tululuntaaaa ) Kuna kitu ntaka kuitumia iyo beat please Sent using Jamii Forums mobile app
  12. pol dauda

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mwenye background music inayoskika kwenyr movie ya kanumba dar to lagos naomba (Narudiii nyumban oo nikamuone baba yangu mpendwa) Sent using Jamii Forums mobile app
  13. pol dauda

    Vyuo

    Aaaamu!!! Vizuri kwa mchanganuo huo nami napenda kufaham tafadhari kwa nurse midwife (nurse II) anaweza kuruhusiwa kusoma online upgrading coarse ,kabla ya kumaliza ile miaka ya mkataba ya serikal (miaka miwil kazin ) Sent using Jamii Forums mobile app
  14. pol dauda

    ZILIPENDWA: Wanamuziki, nyimbo na mitindo yao

    Naomba msaada wimbo WA ,mwinjuma mumin wimbo sjui unaitwaje ila unaimba ivi (anameremeta (anameremeta )oo bibi harus anameremeta (anameremeta ) mambo yake si mchezooo ,anatisha kama ukoma , Watu wanasema mwinjuma tumemkubali kwa kazi yake anavyoifanya mwisho WA yote tunamzimiaaaa.. Aliye nae...
Back
Top Bottom