Haya manunuzi yenye kukinufaisha chama tawala ni kwa gharama ya kodi za wananchi. Kwa bahati mbaya wapiga kura wengi hawajui, na kukosa ufahamu ni mtaji mkubwa wa chama tawala. Ni rahisi sana kutawala watu wajinga, lakini si rahisi hata kidogo kuwatawala milele.
Kuna jengo moja hapo Magomeni Kagera (karibu na sheli ya Oil Com... yaani ndani wanajificha Waturuki kama 50 hivi, for many months hukaa na kutafutiwa vibali "kwa dili" na wanasambaa nchini kirahisi sana. Jengo la ghorofa 5 halina alama yoyote na kageti kadogo sana kamefungwa all the time...
Hawa wateule wa mukulu kama vile wanatumia sheria mpya tusizozijua? Maana hata huyu ni LL.B holder wa UDSM na ambaye najua amesoma Administrative Law... kama hoja ikiwa kuwa hii ni ajira yake ya kwanza. Too sad. Manispaa ikishtakiwa inapigwa vby
... Inawezekana kuna kitu walimwekea, si haba. Very possible hakulewa kwa hiari yake yule. Hawa kina Riziwani na Lugumi wana nguvu sana, na hakuna anayeweza kuwafanya kitu. Wameiweka serikali (na bunge) mfukoni!!
Siyo Temake peke yake ndugu. Kinondoni, Ilala ndiyo usiseme. Pale Kisutu je? Na ukisoma hukumu ambazo zimekuwa manufactured na mahakimu wala rushwa ndio utaanguka na kufa. Mimi ni wakili, lakini nimeacha kabisa kwenda mahakamani (mbali na mahakama kuu) kwa sababu ya mambo haya.
Magufuli...
Mitanzania bwana... naskia "barabara za Makufuli" etc etc utadhani hela ya kuzijenga haijakopwa. Mnaingizwa kwenye minyororo ya madeni makubwa ambayo mtalipa hadi kizazi cha kumi kijacho, huku mnakenua.
Tunataka mabadiliko. Hata jiwe liongoze, lakini siyo CCM tena. Mabadiliko. Mabadiliko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.