Mambo yamekuwa ni burudani ndani ya ccm, na mfumo huu ukiendelea na october utakuwa mzuri sana, wa kuhesabu matokeo hadharani
Sent using Jamii Forums mobile app
mm nafikir kwa mtazamo wangu stand ya mjini ambayo imekarabatiwa ibaki kuwa stand ya magari ya mikoan na ile stand ya msamala iwe stand ya magari ya wilayani pamoja na daladala kwa sababu ni kubwa na hii itasaidia kupunguza msongamano wa magari mjini
mm nafikiri stand ya mjin ambayo imekarabatiwa kwa sasa ibaki kuwa stand ya magari ya mikoani na ile ya msamala iwe ni stand ya magari yanayoenda wilayani pamoja na daladala nafikiri hii itapunguza msongamano wa magari mjin
mpeleke tu hamna tatizo kama yeye mwenyewe anajielewa,,,,mtu kama ni mwizi bac ni mwizi tu ila kama ametulia jua kwamba ametulia ,,kwa ushaur wangu mpeleke chuo na naamin atamaliza vizur kama kweli ana mapenz ya dhat na ww
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.