Vijana hawawezi elewa acha niwape hii yangu ya ukweli kabisa, pale Mji mkuu kuna manzi alinikopa 100k ili amalizie ada alafu kipindi hicho namfukuzia na anakuja room kila siku ila mzigo hataki kutoa, anasema anamsela wake hawezi mcheat....nikakomaa ivyoivyo.
Nikachukua 100k nikampa. Keshi yake...
Unajua kwamba unaweza piga hii solo bila kampuni na mambo yakaenda vizuri tu, sikia tafuta watu unaowaamini watie hela wewe nenda katafute eneo la kuchimba na leseni kama utapata lakini, ukikosa nunua udongo chenjua kampuni utakutana nayo ukianza kupata faida
Subiri kwanza twende taratibu umesema Marekani na Tanzania wana Mutual Legal assistance treaty (usaidizi kwa kisheria) iyo ni kitu tifauti kabisa na Extradition ili mtu aweze kuletwa vinatakiwa kuwepo vyote..
Jielekeze vizuri kwenye hicho unachotaka kueleza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.