Nimebaki najiuliza for years, hili jina limetoka wapi ? Je si nguvu za kisiasa tuu za watu wa Mbeya, ambao wametupa jina tuu na kichukua vitu vya muhimu? Ili nieleweke,,, kuna issues mbili tatu:
1. Hakuna sehemu ya maana iliyokuwa inaitwa Songwe
2. Kila cha maana chenye jina hilo kilibaki...