Recent content by pocha2

  1. pocha2

    JamiiForums Tanzania Mitihani ndiyo njia muafaka ya kuhakikisha usalama wa wagonjwa, wizara ishikilie hapa

    Kwanza naipongeza Wizara na Serikali kwa ujumla kwa kuanzisha mitihani ya Baraza la Madaktari Tanganyika, na pili nalipongeza Baraza kwa kutunga na kuisimamia mitihani ya kabla na baada utaraji (pre and post internship examination, Na zaidi kwa kutoa matokeo kwa wakati. Kwa haraka haraka kazi...
  2. pocha2

    JamiiForums Tanzania Ni kosa kubwa daktari kuwa Mkurugenzi wa Hospitali

    Na vipi kuhusu engineers, politicians, bwana mifugo etc
  3. pocha2

    JamiiForums Tanzania Ni kosa kubwa daktari kuwa Mkurugenzi wa Hospitali

    Kwa hiyo Daktari siasa asifanye, appointment za kisiasa asipewe, na ukurugenzi wa hospital isipewe ? Kwani madaktari wanashida gani? Akili au ujuzi
  4. pocha2

    JamiiForums Tanzania Mahakama yaamuru mwili wa aliyefia Polisi ufukuliwe, uchunguzwe

    Anakufa x 2. Tapeli wa kike aliyekuwa amekubuhu. Mungu amhurumie kwa kufanya kazi za kudhurumu na utapeli. Devil
  5. pocha2

    JamiiForums Tanzania Ahsante TANROADS Dodoma

    Kwa dhati kabisa nasema ahsante kwa TANROADS Dodoma kwa kuboresha barabara ya Dodoma Singida. Tunawashukuru hasa kwa kutoweka kibao chochote cha tahadhari ya matuta na ujenzi. Mungu awabariki kwa weledi huu, na Waziri awaongezee baraka mkae madarakani muda mrefu kwa kusababisha damages kwa...
  6. pocha2

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Songwe jina lilitoka wapi?

    Mito mikubwa ipo mingi, uwepo wa mto songwe pekee haikidhi kigezo cha kuleta jina la mkoa
  7. pocha2

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Songwe jina lilitoka wapi?

    Nimebaki najiuliza for years, hili jina limetoka wapi ? Je si nguvu za kisiasa tuu za watu wa Mbeya, ambao wametupa jina tuu na kichukua vitu vya muhimu? Ili nieleweke,,, kuna issues mbili tatu: 1. Hakuna sehemu ya maana iliyokuwa inaitwa Songwe 2. Kila cha maana chenye jina hilo kilibaki...
  8. pocha2

    JamiiForums Tanzania Jengo la TANESCO lilibomolewa kwa Siasa na siyo kupisha Ujenzi

    Hamna shukrani
  9. pocha2

    JamiiForums Tanzania Watoto wawili iwe sera mahususi ya uzazi wa mpango kwa Tanzania ya sasa

    Kumbuka pamoja na kuwa Japan ina eneo lote linaingia x3 ya nchi yako, lakini in watu x2 (125M) ya Tanzania (67M), pupulation density ya Japan ni watu 332 kwa kila kilometa mraba, hapa kwenu ni 52. Tafakuri. Msomi huko kwenu kijijini mmezaliwa 16, na mmesoma na kukukua vema ,,, mnakuja mjini...
  10. pocha2

    JamiiForums Tanzania Utata mwanamke kujinyonga polisi

    RIP Tapeli afisa feki, ulikuwa unachafua taasisi na Maisha yako yalileta vilio kwa wengine. Familia ihangaike kulipa madeni na kufuta kesi.
  11. pocha2

    JamiiForums Tanzania Hasara ya mashimo ya Mvua Barabarani

    Kama ushawahi poteza tairi, shockup, ball joint, rim, ajali mbaya kutokana na shetani mashimo wa barabarani leta uzoefu wako hapa. Tupe location ili Serikali kupitia TANROADS ikaweke alama sehemu hatari zote.
  12. pocha2

    JamiiForums Tanzania TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

    Inhibitive, kuna levy brabra pia
  13. pocha2

    JamiiForums Tanzania Tuzidishe kuwaombea masheikh waliowekwa rumande miaka 7 kwa dhulma nchini Tanzania

    Northern Mozambique in cooking Sent using Jamii Forums mobile app
  14. pocha2

    JamiiForums Tanzania Jiji la Mbeya a.k.a Green City laanza kuchipua upya

    Great ideas Sent using Jamii Forums mobile app
  15. pocha2

    JamiiForums Tanzania Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

    Kwani huko mtaani (baada ya graduation) mnatofautiana kwenye kudeliver? Are a better choice in your industry ? Au kichwa kikubwa tuu ? Like is a doctor from Udom worse than one from Muhimbili or UDSM ? May be it is a problem of stereotyping, just like racism is. My message is; it doesn’t matter...
Back
Top Bottom