Tarehe 31 Dec 2021. Nilijiwekea malengo ya kutimiza 2022. Wakati huo Sina hata mia , YAANI nimefulia Sana.
Ikumbukwe kuwa Sina Ajira.
KWA IMANI KABISA NILIMUOMBA MUNGU ANIWEZESHE KUTIMIZA YA FUATAYO.
1. Kupaua frem zangu Tatu za biashara.
Hlo lilikuwa lengo langu kuu lkn sikujua nitapata...
Karibu kwa ujenzi Imara wa nyumba.
Tunajenga majengo ya kawaida na ghorofa.
Tunafanya ukarabati wa majengo yaliyo chakaa.
Tunafanya ujenzi wa mfumo wa kisasa wa majitaka usiojaa.
Bei zetu ni nafuu na zinazingatia maisha ya mtanzania.
Tunapatikana Dar es salaam lkn kazi tunafanya popote ndani...
Kila kitu mnaita propaganda.
Awali zilipotoka taarifa za Urusi kuzidiwa na majeshi ya Ukrain mlisema propaganda.
Leo vijana wa kirusi Wana haha kukwepa kwenda kupigana mnasema propaganda.
Tuache ushabiki.
Wana JF hivi kuna uwezekano wa kufanikiwa kiuchumi unapokuwa na umri wa kuanzia 41?
Mpaka sasa nina mke na watoto watatu. Sina shughuli rasmi, nabangaiza tu.
Naanza kuona kama ndoto yangu ya kuwa na mafanikio kiuchumi inafifia.
Swali langu ni kwenu ninyi Wana JF. Hivi kuna possibility ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.