Recent content by PM Thomas

  1. PM Thomas

    Vijana Hatujazoea Kulalamika, Lakini Haya Yanayotokea Sasa Ni Beyond Uvumilivu!

    Na bado ukiilalamikia serikali unatekwa,unateswa hata kuuawa,ukiandamana wanakuua,tu afanyaje sasa
  2. PM Thomas

    Sababu kuu zenye Mantiki zilizowafanya na zinazowafanya Wayahudi wengi Wasimuamini Yesu Kristo

    Katafute hiki kitabu cha Dr Myles Munroe utajibiwa maswali yako yote uliyo yauliza hapa.
  3. PM Thomas

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Jamani naomba kuuliza kama kuna anaye fahamu kuhusu alipo mwandishi wa blog ya salimmsangi.blogspot.com,imepita miaka mingi sasa sijaona akiposti.Nimejaribu kuipitia tena makala yake ya dola ya kishetani na ushoga aliyo iandika november 2 mwaka 2015 lakini mambo mengi aliyo kua akiandika ndio...
  4. PM Thomas

    Kwanini watanzania siyo wapenzi wa kujisomea?

    Nimeanza kuifatilia Jamii forum tangu 2011....lakini kujiunga nimejiunga mwaka huu tu, swali langu ni kwa nini watanzania wanakua siyo wapenzi wa kujisomea? Wengi wanapenda habari fupi fupi tu tena za udaku, ushabiki wa kisiasa n.k ukiweka topic ndefu wanakwambia hiyo sisi hatusomi....fatilia...
  5. PM Thomas

    Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa Tanzania?

    Ziza Mona clouds tv
Back
Top Bottom