Recent content by playboy babu

  1. playboy babu

    CHAUMMA chaumia Mwanza

    IGWEEEEE...
  2. playboy babu

    Wachezaji wa kuacha na kusajili Simba msimu ujao wa 2025/2026 ni Hawa hapa vinginevyo Yanga atakuwa bingwa milele

    Kuna WATU MSIMU MMOJA KAULI MBINU MBILI...MARA WE HUOGOPI, MARA GUSA ACHIA TUISHIE MAKUNDI...SA HIVI WANA NYINGINE "HATUCHEZI"
  3. playboy babu

    Wachezaji wa kuacha na kusajili Simba msimu ujao wa 2025/2026 ni Hawa hapa vinginevyo Yanga atakuwa bingwa milele

    Na hao WOTE wakiachwa WANASAJIKIWA NA TIMU YAKO YANGA...Maana huwa anasubiri wachezaji Toka SIMBA...Me nadhani ungewashauri wale waloishia MAKUNDI KLABU BINGWA...WAJENGE TIMU
  4. playboy babu

    Wachezaji wa kuacha na kusajili Simba msimu ujao wa 2025/2026 ni Hawa hapa vinginevyo Yanga atakuwa bingwa milele

    Ntajie mchezaji yyte wa mbele LIGI NZIMA ANAYEMZIDI NAMBA AHOUA...Tuanzie hapo.
  5. playboy babu

    Mchungaji Gwajima, hukuthubutu kunyanyua mdomo, iliyokuwa awamu ya tano, tukuelewaje?

    Alokwambia kukimbia nchi ni SIASA UCHWARA futa namba zake afu mtie BLOCK atakwambia na mambo menginee menginya kipuuzi yatakayokuaibisha..
  6. playboy babu

    Nimeshangazwa na mwanamke kuniomba sex

    We na huyo MWANAMKE MNA TOFAUTI GANI?...yaani kabisa unakuja kutuanzushia Uzi kwamba umeombwa sexx???....puuumbav
  7. playboy babu

    Je ni Kweli shahada ya pili haitambuliki kwa watumishi wa Serikali?

    Huku TAMISEMI ndo Haina mchongo,ukibahatika serikali kuu,MA,DR,PHD zpte ni mchongo
Back
Top Bottom