Nina mengi sana ya kuchangia kuhusu hili ila naona uvivu kuandika, ila kiufupi wanawake wengi ni wabinafsi, wanataka wafanye kazi kama wanaume ila hawataki kugawana majukumu na mwanaume, wao wanataka wapokee tu na kuhudumiwa na mwanaume ila pesa zao wanafanyia mambo yao wanayoyajua wao.
Ushauri...
Mambo yafuatayo yameorodheshwa kuwa ndiyo tofauti kuu kati ya mvulana na mwanaume
1. Uwezo wa kukabiliana na magumu. Mvulana akipata magumu hulalamika au kukimbia kabisa magumu yake, mwanaume anapambana hadi mwisho
2. Majukumu. Namna kila mmoja anavyotimiza majukumu yake bila kulalamika
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.